Is-haqqa
Member
- Dec 12, 2019
- 28
- 46
Habari,
Ninahitaji mke wa pili, naandika tena (Mke wa pili) alie muislamu.
Sifa yangu.
1. Nina mke mmoja
2. Nina mtoto mmoja
3. Nimeajiriwa
4. Muislamu
Nahitaji mke wa pili mwenye sifa hizi
1. Awe mwanamke au mjane
2. Awe muislamu
3. Umri 25 - 33
4. Awe ameajiriwa (Dar es salaam)
5. Asiwe na mtoto
6. Swala la maadili ni juu yangu (kumkubali au kumkataa)
7. Awe tayari kuwa mke wa pili
8. Kama una sifa dm
Wabillahi taufiq.
Ninahitaji mke wa pili, naandika tena (Mke wa pili) alie muislamu.
Sifa yangu.
1. Nina mke mmoja
2. Nina mtoto mmoja
3. Nimeajiriwa
4. Muislamu
Nahitaji mke wa pili mwenye sifa hizi
1. Awe mwanamke au mjane
2. Awe muislamu
3. Umri 25 - 33
4. Awe ameajiriwa (Dar es salaam)
5. Asiwe na mtoto
6. Swala la maadili ni juu yangu (kumkubali au kumkataa)
7. Awe tayari kuwa mke wa pili
8. Kama una sifa dm
Wabillahi taufiq.