Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Bila common sense hata hicho kitabu huwezi kukielewa. Common sense maana yake rahisi ni natural intelligence ama judgment.Una kitabu mkuu common sense ya nini.
Kitabu ni muongozo wa maisha. Ingekuwa ni common sense kila mmoja angefanya atakavyo bila ya miongozo.