Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari,
Ninahitaji mke wa pili, naandika tena (Mke wa pili) alie muislamu.
Sifa yangu.
1. Nina mke mmoja
2. Nina mtoto mmoja
3. Nimeajiriwa
4. Muislamu
Nahitaji mke wa pili mwenye sifa hizi
1. Awe mwanamke au mjane
2. Awe muislamu
3. Umri 25 - 33
4. Awe ameajiriwa (Dar es salaam)
5. Asiwe na mtoto
6. Swala la maadili ni juu yangu (kumkubali au kumkataa)
7. Awe tayari kuwa mke wa pili
8. Kama una sifa dm
Wabillahi taufiq.
Mzigo gani bhana unataka kutuzibia Riziki😂😂😂Kwanini unataka kuongeza mke wa pili?, au kwakuwa dini inaruhusu?, unajiongezea mzigo usio na sababu
Mwanaumme haulizwe hivo kama we ni ke mu inbox, hata kupa sabb za kibiologia sio kila sabb unaweka wazi......Kwanini unataka kuongeza mke wa pili?, au kwakuwa dini inaruhusu?, unajiongezea mzigo usio na sababu
Wewe kaendelee kulinda kaburi la Malaika huku hakukufaiHuo ni uzinifu, mkuu. Mke mmoja na mume mmoja tu ndiyo kanuni ya ndoa
Mfikirie huyuHabari,
Ninahitaji mke wa pili, naandika tena (Mke wa pili) alie muislamu.
Sifa yangu.
1. Nina mke mmoja
2. Nina mtoto mmoja
3. Nimeajiriwa
4. Muislamu
Nahitaji mke wa pili mwenye sifa hizi
1. Awe mwanamke au mjane
2. Awe muislamu
3. Umri 25 - 33
4. Awe ameajiriwa (Dar es salaam)
5. Asiwe na mtoto
6. Swala la maadili ni juu yangu (kumkubali au kumkataa)
7. Awe tayari kuwa mke wa pili
8. Kama una sifa dm
Wabillahi taufiq.
Hakuna uislamu uliofundisha kufuata biblia wachilia mbali sheria za wale waliotutangulia katika torati, injili na zaburi na vile tusivyovijua.Kwa mujibu wa Biblia, mkuu. Na bahati nzuri Uislamu unawaelekeza mjifunze kwa wale wenye ^vitabu vilivyotangulia.^
Kabisa hajaelewa mkuu wangu.
Kwaiyo Manabiii walikua Wazinifu? Nitajie Nabii aliekua na mke mmoj Em tuanze na Nabii IbraHuo ni uzinifu, mkuu. Mke mmoja na mume mmoja tu ndiyo kanuni ya ndoa
Talking about Mfalme Solomon, Nabii Ibrahim unazan walikua wehu kua na wake wengiNdiyo usome, mkuu. Logically, principle-wise, humanly speaking and morally, polygamy doesn't make any sense. How can you even tell your dear wife, I LOVE YOU, in the very sense of the word?
Mfikirie huyu
Natafuta mme wa kunioa, nipo serious
Natafuta mwanaume ambaye atakuwa tayari kunioa; ~ Mimi ni mwanamke age 31 ~ Muislim ~ Naishi Dar ~ Nina mtoto mmoja ~ Nafanya kazi nimeajiriwa nipo serikalini ~ Nina mtoto mmoja tu ~ Natafuta mwanaume atakayekuwa serious tuanzishe familia * Kuolewa mke wa pili nipo tayari Sifa za mwanaume; ~...www.jamiiforums.com
Shemu, ndio maana nimesema amfikirie😄Mtoa mada amesema asiwe na mtoto
Sasa wakristo wanasoma Biblia gani mbona wanatuchanganya?!Kumbukumbu la torati 21:
14 Tena utakapokuwa huna furaha naye, mpe ruhusa aende atakako; lakini usimwuze kabisa kwa fedha, usimfanye kama mtumwa, kwa kuwa ulimtweza.
15 Akiwa mtu yuna wake wawili, mmoja ampenda, mmoja hampendi, nao wamemzalia watoto, ampendaye na asiyempenda wote wawili; na yule mzaliwa wa kwanza akiwa ni wa mke asiyependwa;
16 ndipo itakapokuwa ya kwamba siku atakayowarithisha wanawe alivyo navyo, asimweke mwana wa ampendaye kuwa mzaliwa wa kwanza mbele ya mwana wa asiyempenda, naye ndiye mzaliwa wa kwanza huyu;
17 lakini amkubali mzaliwa wa kwanza mwana wa yule asiyempenda, kwa kumpa mafungu mawili katika vyote alivyo navyo; kwa maana ndiye mwanzo wa nguvu zake; haki ya mzaliwa wa kwanza ni yake yeye.
NDOA ZA MITALA ZIMEHALALISHWA HADI KWENYE BIBLIA!!
Dini inakufundisha kubagua wanawake wenye watoto?Mimi ni muislamu na kitabu changu kimenipa ruhusa. Ili nisiwe mzinifu katika Quran ( Sura: Nisaa (Wanawake) : Aya ya 3.
"Na ikiwa mnaogopa kuwa hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnao
wapenda katika wanawake, wawili au watatu au wane. na mkiogopa kuwa hamwezi
kufanya uadilifu, basi mmoja tu, au wale ambao mikono yenu ya kulia imewamiliki.
Kufanya hivi ndiko kutapelekea msikithirishe wana."
Tupe ushahidi kuwa mke wa pili ni uzinifu????
Shemeji samahani.....hivi ukiwa na wake wawili unaweza kuwa unapiga threesome au hii hairuhusiwiNdo inahitaji machaguzi hakuna ubaguzi kwenye kuchagua mke. Unatafuta unacho kitaka tu