Nahitaji mke wa pili muislam

Nahitaji mke wa pili muislam

Haha, apo imemaanisha ikiwa mtu anamuliki mtumwa (mikono yenu imewamiliki) kwa wakati huo. Unaweza kumuoa kuwa mkeo wa ndo.

Kipindi icho watu walikuwa na watumwa, na lengo ilikuwa ukimuoa mtumwa tayari umesha mkomboa tayari anakuwa mke (muungwana) na ikitokea ameachika harudi kuwa mtumwa anakuwa mtu huru
 
Haha, apo imemaanisha ikiwa mtu anamuliki mtumwa (mikono yenu imewamiliki) kwa wakati huo. Unaweza kumuoa kuwa mkeo wa ndo.

Kipindi icho watu walikuwa na watumwa, na lengo ilikuwa ukimuoa mtumwa tayari umesha mkomboa tayari anakuwa mke (muungwana) na ikitokea ameachika harudi kuwa mtumwa anakuwa mtu huru
Habari za kumkomboa mtumwa kwa kumuoa, ndiyo kwanza nazisikia kwako.
 
Unasema mjane halafu unasema tena asiwe na mtoto. Hujui kuwa wajane wengi wana watoto? Huyo mjane asiye na mtoto labda aliolewa kisha bwana wake akafa bila kuacha mimba. Anywaay kila la kheri katika kumpata mke wa pili
 
Mkuu wajua mateso ya mke moja sema tu wengine tunakosa uwezo tu. Mke moja akiwa hedhi na wewe unakua hedhi akijungua na wewe anaingia eda ya siku 40, loh akifiwa na kusafiri kuenda kwao na wewe pia unakua umesafiri, hato mateso ya nini kama una uwezo, mchepuko ni gharama na hatari kwa ukimwi.
Kwani mkeo au wake wako ukiumwa wao genye zao wanatolewa wapi?
Wanaume tuache ubinafsi wa kuona maisha hayaendi bila kunyanduana daily.

.
 
Habari,
Ninahitaji mke wa pili, naandika tena (Mke wa pili) alie muislamu.

Sifa yangu.
1. Nina mke mmoja
2. Nina mtoto mmoja
3. Nimeajiriwa
4. Muislamu

Nahitaji mke wa pili mwenye sifa hizi
1. Awe mwanamke au mjane
2. Awe muislamu
3. Umri 25 - 33
4. Awe ameajiriwa (Dar es salaam)
5. Asiwe na mtoto
6. Swala la maadili ni juu yangu (kumkubali au kumkataa)
7. Awe tayari kuwa mke wa pili
8. Kama una sifa dm

Wabillahi taufiq.
wanawake wa siku hizi utawaweza kweli? au ndio unatafuta sababu za kufa mapema.
 
Muulize kwanza biblia kitabu cha nani?
Issa/Yesu kitabu chake kinaitwa nini?
Moses/Mussa alikuwa na wake wangapi?
 
Habari,
Ninahitaji mke wa pili, naandika tena (Mke wa pili) alie muislamu.

Sifa yangu.
1. Nina mke mmoja
2. Nina mtoto mmoja
3. Nimeajiriwa
4. Muislamu

Nahitaji mke wa pili mwenye sifa hizi
1. Awe mwanamke au mjane
2. Awe muislamu
3. Umri 25 - 33
4. Awe ameajiriwa (Dar es salaam)
5. Asiwe na mtoto
6. Swala la maadili ni juu yangu (kumkubali au kumkataa)
7. Awe tayari kuwa mke wa pili
8. Kama una sifa dm

Wabillahi taufiq.
1. Faiza,
2. Hamisa,
3. Wema,
4. Kajala,
5. Queen Darlin,
6. Shamsa,
7. Snura a.k.a Chura
Wapo single wanaenjoy
 
Vp s

Vp siku ambazo mwanamke yupo kwenye mzunguko wa hedhi, vp kuhusu kipindi ambacho mwanamke anakaribia kujifungua na vipi kuhusu madiku ambayo mwanamke ametoka kujifungua (uke ukiwa umechanika kutokana na kupita kwa mtoto na kisha kutoka damu chafu ya uzazi)?

Haya masiku unataka mwanamume rijali apeleke wapi matamanio yake ya kibaiolojia(kimwili)?
Fikra za kibinadamu hizo. Kwani ukiwa na wanne, utapeleka wapi matamanio yako pale ambapo mmoja akiwa kwenye siku zake, mwingine mgonjwa, wa tatu yuko Dubai kibiashara, na huyu wa nne yuko Kisutu kwenye kesi ya uhujumu-uchumi?
 
Habari,
Ninahitaji mke wa pili, naandika tena (Mke wa pili) alie muislamu.

Sifa yangu.
1. Nina mke mmoja
2. Nina mtoto mmoja
3. Nimeajiriwa
4. Muislamu

Nahitaji mke wa pili mwenye sifa hizi
1. Awe mwanamke au mjane
2. Awe muislamu
3. Umri 25 - 33
4. Awe ameajiriwa (Dar es salaam)
5. Asiwe na mtoto
6. Swala la maadili ni juu yangu (kumkubali au kumkataa)
7. Awe tayari kuwa mke wa pili
8. Kama una sifa dm

Wabillahi taufiq.
Mjane alafu asiwe na mtoto 😂😂😂😂😂 mbona unatafuta sukari kwenye mchanga
 
Kwani mkeo au wake wako ukiumwa wao genye zao wanatolewa wapi?
Wanaume tuache ubinafsi wa kuona maisha hayaendi bila kunyanduana daily.

.
Mmh kwani mkuu wewe una utaratibu wa kuumwa kila mwezi kama hao wake zetu?
 
Hata kama sio kila mwezi.
Hata ikiwa baada ya mwaka.
Mbona wao wanavumilia?
Kama una pesa oa hata wake 12 kazi ni kwako.!!
Mkuu mwisho ni wa nne tu, hapo ni baada ya mwaka sio periodical kama wanawake, pia mkuu naomba ujue libido ya wanaumme iko juu ni 30days kila mwezi iko tayali wakati normsl mwanamke ana weza akawa na hamu siku tano tu kwa mwezi, siku zingine ni kumlazimisha tu, hiyo ndo naked fact consult mtu yoyote atakuambia hasa ke.
 
Back
Top Bottom