Nahitaji mke wa pili muislam

Una kitabu mkuu common sense ya nini.
Kitabu ni muongozo wa maisha. Ingekuwa ni common sense kila mmoja angefanya atakavyo bila ya miongozo.
Bila common sense hata hicho kitabu huwezi kukielewa. Common sense maana yake rahisi ni natural intelligence ama judgment.
 
Vp s
Hapana. Sijasema hivyo, mkuu Covax . Maana yangu ni kwamba aridhike na huyo mmoja, aache tamaa za mwili. Mbona mkewe yeye anaridhika naye huyo mmoja?

Kwani akiwa na wanne ndipo hiyo tamaa itaisha?
Vp siku ambazo mwanamke yupo kwenye mzunguko wa hedhi, vp kuhusu kipindi ambacho mwanamke anakaribia kujifungua na vipi kuhusu madiku ambayo mwanamke ametoka kujifungua (uke ukiwa umechanika kutokana na kupita kwa mtoto na kisha kutoka damu chafu ya uzazi)?

Haya masiku unataka mwanamume rijali apeleke wapi matamanio yake ya kibaiolojia(kimwili)?
 
Bila common sense hata hicho kitabu huwezi kukielewa. Common sense maana yake rahisi ni natural intelligence ama judgment.
Kitabu hutakiwi kutumia common sense. Unatakiwa kufundishwa ndio mana kitabu kinakuja na mitume, wanakuja wasomi waliopokea mafundisho ndio elimu inakufika.
Kusoma vitabu vya dini hakuhitaji common sense. Sio kama "Rich dad poor dad"
 

Kutoka 21:10​

Kama huyo bwana akioa mke mwingine, lazima aendelee kumtosheleza mkewe wa kwanza kwa chakula, mavazi na haki zake za ndoa.
Andika neno hapo, tupate ujuzi mkuu. Acha kuficha elimi muhimu
 
Kila la heri Sheikh. Mnyazi Mungu Subhana wa Taallah akujalie heri ya kupata hitaji la moyo wako. Insha Allah!

Umshauri pia huyu jamaa yangu adriz naye aongeze mke wa 4 ili kuhitimisha kabisa Sunna ya Mtume Muhammad (SAW).
 

Kutoka 21:10​

Kama huyo bwana akioa mke mwingine, lazima aendelee kumtosheleza mkewe wa kwanza kwa chakula, mavazi na haki zake za ndoa.
Asante kumbe ata biblia imeruhusu.
Quran: ( Al aalya aya 18)
Hakika haya yamo katika vitabu vya mwanzo.

Nipo kwenye nyia sahihi.

Mke wangu wa pili usitishike, Quran na Biblia imeruhusu hakuna zinaa hapo
 
Mkuu una mtoto ila hutaki aliye na mtoto.
 

Kutoka 21:10​

Kama huyo bwana akioa mke mwingine, lazima aendelee kumtosheleza mkewe wa kwanza kwa chakula, mavazi na haki zake za ndoa.
Kumbukumbu la torati 21:

14 Tena utakapokuwa huna furaha naye, mpe ruhusa aende atakako; lakini usimwuze kabisa kwa fedha, usimfanye kama mtumwa, kwa kuwa ulimtweza.

15 Akiwa mtu yuna wake wawili, mmoja ampenda, mmoja hampendi, nao wamemzalia watoto, ampendaye na asiyempenda wote wawili; na yule mzaliwa wa kwanza akiwa ni wa mke asiyependwa;

16 ndipo itakapokuwa ya kwamba siku atakayowarithisha wanawe alivyo navyo, asimweke mwana wa ampendaye kuwa mzaliwa wa kwanza mbele ya mwana wa asiyempenda, naye ndiye mzaliwa wa kwanza huyu;

17 lakini amkubali mzaliwa wa kwanza mwana wa yule asiyempenda, kwa kumpa mafungu mawili katika vyote alivyo navyo; kwa maana ndiye mwanzo wa nguvu zake; haki ya mzaliwa wa kwanza ni yake yeye.

NDOA ZA MITALA ZIMEHALALISHWA HADI KWENYE BIBLIA!!
 
Naona umerudia hili neno (mke wa pili) mara tano (5) kwa msisitizo sana...😊
 
'...au wale ambao mikono yenu ya kulia imewamiliki.' Hivi mke anamilikiwa, sawasawa na gari, au nyumba, au mali nyingine yo yote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…