- Thread starter
- #21
AhsanteKila la kheri...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AhsanteKila la kheri...
Age 37 yrs na bado una mtoto alafu bado una chagua!!!!??? Aya, kila la kheri.Husika na mada hapo juu
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37 nahitaji mwanaume alie na hitaji la mke. Mme wa mtu sihitaji kabisa. Nina mtoto mmoja. Naye akiwa na watoto ni vizuri. Mme awe anatokea mikoa ya iringa, mbeya na njombe kabila lolote awe anaishi hiyo mikoa ili iwe rahisi kuonana . Kama una umri chini ya 38 tusitafutane. Mwenye nia ya dhati ya mke anipm. Ahsante
ok,tuma mawasilianoHusika na mada hapo juu
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37 nahitaji mwanaume alie na hitaji la mke. Mme wa mtu sihitaji kabisa. Nina mtoto mmoja. Naye akiwa na watoto ni vizuri. Mme awe anatokea mikoa ya iringa, mbeya na njombe kabila lolote awe anaishi hiyo mikoa ili iwe rahisi kuonana . Kama una umri chini ya 38 tusitafutane. Mwenye nia ya dhati ya mke anipm. Ahsante
Mbona hueleweki mimi vigezo vyote nnavyo ingia chemba tuwasiliane ndani ya saa 24 mambo tayariHusika na mada hapo juu
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37 nahitaji mwanaume alie na hitaji la mke. Mme wa mtu sihitaji kabisa. Nina mtoto mmoja. Naye akiwa na watoto ni vizuri. Mme awe anatokea mikoa ya iringa, mbeya na njombe kabila lolote awe anaishi hiyo mikoa ili iwe rahisi kuonana . Kama una umri chini ya 38 tusitafutane. Mwenye nia ya dhati ya mke anipm. Ahsante
Hauna nia na mwanaume masharti kibao. Baba wa mtoto yupo wapiHusika na mada hapo juu
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37 nahitaji mwanaume alie na hitaji la mke. Mme wa mtu sihitaji kabisa. Nina mtoto mmoja. Naye akiwa na watoto ni vizuri. Mme awe anatokea mikoa ya iringa, mbeya na njombe kabila lolote awe anaishi hiyo mikoa ili iwe rahisi kuonana . Kama una umri chini ya 38 tusitafutane. Mwenye nia ya dhati ya mke anipm. Ahsante
Halafu unataka mtoto wake awe anakuita kaka, au? Dogo tuachie wakubwa zako na sisi tufaidi. Maana huna chako hapa.Mimi ninamiaka 23 sipati nafasi hapo [emoji846][emoji846]
FactHalafu unataka mtoto wake awe anakuita kaka, au? Dogo tuachie wakubwa zako na sisi tufaidi. Maana huna chako hapa.
Mhhh mkeo mzimaNafasi bado?
Hajambo kabisaMhhh mkeo mzima
Sio hivyoDaaah! Kuna mtu aliponda mabeberu hadi imefikia hatua sasa tunaokaa ubeberuni tushaanza kutengwa na wanyakyusa wa Tukuyu kwenye mambo ya kuijaza dunia. Mungu anamuona lakini haya tu[emoji848]
Upo sahihiMtu ametoa vigezo vyake, kama huna sifa si upite tu, kuna haja gani ya kumtaka aweke vigezo vyako wakati huna sifa anazo zihitashi? Lazima tukubali kutofautiaana.
Serengeti boys kaa mbali.... hataki mume wa kulea!!!
DuhDaaah! Kuna mtu aliponda mabeberu hadi imefikia hatua sasa tunaokaa ubeberuni tushaanza kutengwa na wanyakyusa wa Tukuyu kwenye mambo ya kuijaza dunia. Mungu anamuona lakini haya tu[emoji848]
Kumbe vipieeSio hivyo
Kua kwanzaMimi ninamiaka 23 sipati nafasi hapo [emoji846][emoji846]