Illuminata Rodgers
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,845
- 2,024
Kila la kher mdada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka niwekeze kabisaKua kwanza
Wote ni waume za watu auUnataka mwanaume mwenye umri kuanzia miaka 38 awe na mtoto mmoja na asiwe mume wa mtu, lol
Yaani asiwe na choice kisa umri?, you are wrong bro,Age 37 yrs na bado una mtoto alafu bado una chagua!!!!??? Aya, kila la kheri.
Mbona Uzi wake uko wazi!Yani bado unachagua! hiv nyie wagalatia ni nani aliyewaroga?
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
[emoji119][emoji16]Nina watoto 4 tayari + wako = 5. Bado unahitaji kuzaa? Kama hauhitaji kuzaa njoo PM.
🐓[emoji119][emoji16]
Wapo wengi tu na hawajaoa,a unakuta wana watt kuanzi 2 wengi waoUnataka mwanaume mwenye umri kuanzia miaka 38 awe na mtoto mmoja na asiwe mume wa mtu, lol
Watoto ni barakaWapo wengi tu na hawajaoa,a unakuta wana watt kuanzi 2 wengi wao
Nimemaanisha hivyoMbona Uzi wake uko wazi!
Hajaongelea kabila,nilivyomuelew mimi,ila hiyo mikoa tajwa kwa ajili ya urahisi wa kuonana haijalishi ni kabila gani
Nipo me nipe namba zakoHusika na mada hapo juu
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37 nahitaji mwanaume alie na hitaji la mke umri 38 na kuendelea . Mme wa mtu sihitaji kabisa. Nina mtoto mmoja. Naye akiwa na mtoto mmoja ni vizuri. Uwe unaishi mikoa ya iringa, mbeya na njombe kabila lolote ili iwe rahisi kuonana . Mwenye nia ya dhati ya mke anipm. Ahsante
Mhhh
kwa hiyo azoe yoyote tu????Yani bado unachagua! hiv nyie wagalatia ni nani aliyewaroga?
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Ahsante kwa kusaidiakwa hiyo azoe yoyote tu????
Amina kwa maombi yenu nitapata mtu sahihiKila lakheri, Mungu akupe haja ya moyo wako.
Naomba kama hutojali tuwasiliane Mimi nipo Iringa,ila naitaji mke wa pili,na ukweli huwa wanawake hampendi,munapenda uongo,yani MTU akudanganye sina mke ili akutumie mwisho wa Usiku ukija kugundua umepoteza muda,mwanaume wa miaka 38 ajaowa unampata wapi Dada.Husika na mada hapo juu
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37 nahitaji mwanaume alie na hitaji la mke umri 38 na kuendelea . Mme wa mtu sihitaji kabisa. Nina mtoto mmoja. Naye akiwa na mtoto mmoja ni vizuri. Uwe unaishi mikoa ya iringa, mbeya na njombe kabila lolote ili iwe rahisi kuonana . Mwenye nia ya dhati ya mke anipm. Ahsante