Nahitaji Mme mwenye miaka 38-49

Age 37 yrs na bado una mtoto alafu bado una chagua!!!!??? Aya, kila la kheri.
 
ok,tuma mawasiliano
 
Dah! Yaani mimi niko maeneo tajwa hapo juu ila umri sasa khaaa! Nina 28.

Haya mama mimi nataka urafiki tu basi sitaki nikusumbue coz sijatimiza vigezo.

Kama hautajali tuwe marafiki tu!
 
Mbona hueleweki mimi vigezo vyote nnavyo ingia chemba tuwasiliane ndani ya saa 24 mambo tayari
 
Hauna nia na mwanaume masharti kibao. Baba wa mtoto yupo wapi
 
Daaah! Kuna mtu aliponda mabeberu hadi imefikia hatua sasa tunaokaa ubeberuni tushaanza kutengwa na wanyakyusa wa Tukuyu kwenye mambo ya kuijaza dunia. Mungu anamuona lakini haya tu🤔
 
Daaah! Kuna mtu aliponda mabeberu hadi imefikia hatua sasa tunaokaa ubeberuni tushaanza kutengwa na wanyakyusa wa Tukuyu kwenye mambo ya kuijaza dunia. Mungu anamuona lakini haya tu[emoji848]
Sio hivyo
 
Mtu ametoa vigezo vyake, kama huna sifa si upite tu, kuna haja gani ya kumtaka aweke vigezo vyako wakati huna sifa anazo zihitashi? Lazima tukubali kutofautiaana.
Serengeti boys kaa mbali.... hataki mume wa kulea!!!
 
Mtu ametoa vigezo vyake, kama huna sifa si upite tu, kuna haja gani ya kumtaka aweke vigezo vyako wakati huna sifa anazo zihitashi? Lazima tukubali kutofautiaana.
Serengeti boys kaa mbali.... hataki mume wa kulea!!!
Upo sahihi
 
Daaah! Kuna mtu aliponda mabeberu hadi imefikia hatua sasa tunaokaa ubeberuni tushaanza kutengwa na wanyakyusa wa Tukuyu kwenye mambo ya kuijaza dunia. Mungu anamuona lakini haya tu[emoji848]
Duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…