zugazuga na mimi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 241
- 77
aisee haya poa ila tambua WANAUME NI WALEWALEMnazenguaaa
Mmhhakika hata mimi JF imenisaidia sana
nimejifunza mengi na sasa mie sio jje's wa mwanzo ni mwingine kabisa
I am proud of myself
[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji120] [emoji120] [emoji120]yes yes
Tafuta ukishapata panda ndege utue nchi yoyote yenye wazaungu utapata wengi!Apana cna
Punguza huo mwili uwe kipotable kwelihawapendi miili mikubwa hiyo harafu tembelea hotel za ufukweni utafanikiwa kila la kheri bibieHazijanikinai ila ni hobby Yangu tu
Nenda Tandale kwa Msaga SumuApana mkuu nataka mwanaume mashine
Ungeweka kwa kiinglishi kutanya wigoHabari zenu wanajukwaa.
Kwanza nashukuru sana kwa kuntia moyo ktk Uzi wangu uliopita.
Pili, nikwamba bado cjakata tamaa naitaji mpenzi lakini awe ngozi nyeupe(mzungu) Tafadhali Dada zangu kina miss chagga, miss natafuta, jjes na wengine wote naombeni maujuzi nifanyeje mdogo wenu
Note: sitampa tena mwanaume ela