Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,718
- 3,465
Yaaan kila anaenitongoza n mweis tu kwan m nina nyota gan
[emoji3] [emoji3]
Chukua mmoja mwenye unafuu nafuu kisha umtengenezee mkorogo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaaan kila anaenitongoza n mweis tu kwan m nina nyota gan
[emoji3] [emoji3]
Wapi?ni watamu balaaa
Aisee kama nilivyo mimiWazuri sana hao mbona
Mkuu wanawake hata wenyewe hawajielewe huwa wanataka nini yaani inabidi tu kumwachia Mungu.Atakae kuja kuwaelewa wanawake atakua amefanya kazi kubwa sana. Yani huwa hawaeleweki sijui kwa nini.?
Hivi nyie jema kwenu ni lipi.?
Haswaaaa natamani twende tukaishi Njombe uzidi kuwa mweusi[emoji8]Aisee kama nilivyo mimi
Ha haa kisa?naongea na mods waweke [emoji107]
Mimi na wewe tena tulivyo shibana lazima nije njombe mamaHaswaaaa natamani twende tukaishi Njombe uzidi kuwa mweusi[emoji8]
Karibu kwangu, mi mweupe sana ila karoti yangu nyeusi.Yaaan kila anaenitongoza n mweis tu kwan m nina nyota gan
[emoji3] [emoji3]
Bila shaka utakuwa mweusi.Atakae kuja kuwaelewa wanawake atakua amefanya kazi kubwa sana. Yani huwa hawaeleweki sijui kwa nini.?
Hivi nyie jema kwenu ni lipi.?
ni watamu balaaa
RAMI ndio nini?Nyota ya rami
Typing error tu mkuuRAMI ndio nini?
Hahahaahhahahhahah wewenaomba uwaforwad kwangu
Ok. Nimekuelewa...Typing error tu mkuu
Hahah namaanisha twende tukaishi huko ili uzid kuwa blackMimi na wewe tena tulivyo shibana lazima nije njombe mama