cha mideko
Senior Member
- Sep 16, 2017
- 103
- 76
Kumpata umpendaeKuwaelewa hawa ni ngumu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumpata umpendaeKuwaelewa hawa ni ngumu.
Kweli kabisa Mkuu...... Age itakapo muwashia indicator atakuja humu humu kuomba ushauri.Atakae kuja kuwaelewa wanawake atakua amefanya kazi kubwa sana. Yani huwa hawaeleweki sijui kwa nini.?
Hivi nyie jema kwenu ni lipi.?
Ndyo kwan ajabu?Best yani huko Africa 🙂🙂 then unataka mwaname mweupe???
naingea na mods waweke [emoji107]Weusi ndo wazuri sasa
naongea na mods waweke [emoji107]Weusi ndo wazuri sasa
Mkuu mimi hawa huwa siwaelewi.Kweli kabisa Mkuu...... Age itakapo muwashia indicator atakuja humu humu kuomba ushauri.
Kama wanaume mlivyo na machaguo tofauti tofauti, vivyo hivyo wanawake pia.Atakae kuja kuwaelewa wanawake atakua amefanya kazi kubwa sana. Yani huwa hawaeleweki sijui kwa nini.?
Hivi nyie jema kwenu ni lipi.?
Ni wewe sasaYan wew ungejua wezako ndo tunao vutiwa nao sasa
Sasa kama unaona hupati katika machaguo yako ujue pengine fungu lako halipo huko. Kama ipo ni ipo tu haiwezi kuondokaKama wanaume mlivyo na machaguo tofauti tofauti, vivyo hivyo wanawake pia.
Hivyo kila upande kuelewa upande mwingine ni ngumu mkuu.
Utakuwa na nyota ya kunguru,Yaaan kila anaenitongoza n mweis tu kwan m nina nyota gan
[emoji3] [emoji3]
Ndo chaguo langu sasa utaniambia nn[emoji12] [emoji12]Utakuwa na nyota ya kunguru,
Mwanamke mjinga utamjua tu
Yaaan kila anaenitongoza n mweis tu kwan m nina nyota gan
[emoji3] [emoji3]
Kuna tofauti kubwa kati ya mwanaume na mwanamke......mwanaume anaweza akachagua mwanamke hata akiwa na miaka 40+ ila mwanamke akiisha kata miaka 25 kuenda juu yoyote atakaye kuja mbele yake yake ni twende na hii ni kutokana na factors za kimaumbilie na kibiologia..Kama wanaume mlivyo na machaguo tofauti tofauti, vivyo hivyo wanawake pia.
Hivyo kila upande kuelewa upande mwingine ni ngumu mkuu.