the lucky mlokole
Member
- May 14, 2016
- 97
- 57
- Thread starter
- #41
Unamawazo yaloganda unawaza ngono tuUnataka kamseleleko ka kupata ngono rahisi toka kwa mke wa boss,dada wa kazi au watoto wa geti Kali waliorudi likizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamawazo yaloganda unawaza ngono tuUnataka kamseleleko ka kupata ngono rahisi toka kwa mke wa boss,dada wa kazi au watoto wa geti Kali waliorudi likizo
Ulishafanikiwa kupata msaada uliohitaji ? Kama bado fanya tuwasiliane niku connect mahala endapo upo dar au arushaHabari za humu ndani wakubwa poleni na majukumu ya hapan na pale
Nimekuja kwenu kuhitaji msaada wa kazi yoyote au kibarua chochote maana Nina hali mbaya kiuchumi na Nina tegemewa na familia.
Kwa yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia hata KAZI ya uhouse boy nipo tayar kufanya ili nipite salama haya majaribu ninayo pitia.
Natanguliza shukrani za dhati
Mimi nipo Arusha mkuuUlishafanikiwa kupata msaada uliohitaji ? Kama bado fanya tuwasiliane niku connect mahala endapo upo dar au arusha
Bahat ya mwenzako wew unailalia mlango waziMimi nipo Arusha mkuu
Msaada tafadhali
0788614446
Hapana mkuu siyo kwa ubayaBahat ya mwenzako wew unailalia mlango wazi
Natania mkuuHapana mkuu siyo kwa ubaya
Usijali mkuuNatania mkuu
AmeenMungu yu wetu sote. Kwa magumu yoyote yale ipo siku atatuvusha tu kikubwa imani
Naku dm kakaUlishafanikiwa kupata msaada uliohitaji ? Kama bado fanya tuwasiliane niku connect mahala endapo upo dar au arusha
Wizi ni asili ya mtu
Hapana mkuu siyo kw
Jamaa ananiover takeUsijali mkuu
Dah kwann mkuu naambiwa dar Kuna magorofapambana utapata ila uhouse boy sikushauri utachelewa au unataka tu kwenda Dar🤣
acha utoto pambana na maisha kwanzaDah kwann mkuu naambiwa dar Kuna magorofa
Napambania wap Sasa we unapopambana namimi nije nipambane apo apoacha utoto pambana na maisha kwanza
Bado milango migumuPole sana Mungu afungue milango kwako.