Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ukijitambulisha kama mkulima watakunywesha pombe kwa lazima?
Kuna mtu natamani kumsaidia jmn [emoji24][emoji24]hapa ninapoandika ana warning ya mwisho kazini kaambiwa asifanye makosa yyte yatokanayo na ulevi ndani ya siku 90 ikitokea basi termination inamuhusu[emoji30][emoji30]na yy kesha kuwa addicted bila rehab hawezi acha namuhurumia mno maana na Iman mda wwte anapoteza kibarua chake coz ya pombe!!Mkuu karibu Mwanza tuna kituo cha kulea wanaopitia urahibu. Ni mafunzo ya mwaka moja.
Kunakuwa na huduma ya maombi na mind transformation kozi. Kituo kiko chini ya Kanisa TAG.BMCC mwanza. Tuko malimbe karibu na chuo kikuu cha SAUT. Kwa msaada wa Mungu utaacha.
Mkuu Dawa ipo kweli?nina bro wangu jmn anasikitisha mno afu nikipaji miakili kama yote mechanical engineer[emoji26][emoji26]fundi mkubwa mno wakutegemewa mining lkn ni chapombe balaa pesa yake yte inaishia bar hajui hata bei ya kiwanja na age inasogea [emoji30][emoji30]afu hashauriki utaoga matusi mpka ushangae anatuumiza sana ndugu zake tumehangaika tumeshindwa [emoji26][emoji26]!!Unapita ln Paris Club (Lindi) nikuletee dawa ya kuacha pombe?
Mlevi akifika home. Kakaa kwenye kochi .dk mbili anakoroma.HOW?
AISEEMlevi akifika home. Kakaa kwenye kochi .dk mbili anakoroma.
...hapo ukute ndo karudi saa 7 usiku...
Wacha wagongewe wake zao tu...
Nlikua namtania tu ila dawa ni ya kitabiaKuna mtu natamani kumsaidia jmn [emoji24][emoji24]hapa ninapoandika ana warning ya mwisho kazini kaambiwa asifanye makosa yyte yatokanayo na ulevi ndani ya siku 90 ikitokea basi termination inamuhusu[emoji30][emoji30]na yy kesha kuwa addicted bila rehab hawezi acha namuhurumia mno maana na Iman mda wwte anapoteza kibarua chake coz ya pombe!!
Acha walewe na kulala tu,kwa hizo mbunye zinazoingiziwa chupa za soda Nani ataziweza?Mlevi akifika home. Kakaa kwenye kochi .dk mbili anakoroma.
...hapo ukute ndo karudi saa 7 usiku...
Wacha wagongewe wake zao tu...