Nahitaji msaada wa kuondoa uchawi na majini

mie niko kenya

gharama ingekua ipi kama mimi ni mwenyeji wa pale ili nijui nauli itakua vipi
Gharama mkuu sifahamu exactly ni kiasi gani sababu Mimi sipo DSM ILA ukiweza kuwasiliana nae au kufika na akajua tatizo lako Kwanza atakuambia...

binafsi nawafaham watu alowatibu na walikua na vitu ambavyo mpaka unaogopa mtu akivitapika ...naamini ni elimu ambayo wachache hua nayo.
 
Positivity Heals
ila sasa ukiwa hivyo akili yako imakua destroyed huwezi kufikiria positive inakua nguvu na positivity ndio imani
 
Positivity Heals
ila sasa ukiwa hivyo akili yako imakua destroyed huwezi kufikiria positive inakua nguvu na positivity ndio imani
Yah nguvu ya positivity ndo inakua imani.....na niliweza sababu pia hua nafanyaga meditation+sala nyingi za kikatoliki ni kama guided meditation kwa sasa niko poa kabisa na mambo mengine naona yanafunguka
 
Amekwambia hakuna mchungaji alie faulu
Hayupo Mchungaji wa aina hiyo, yaani yule wa kushindwa zoezi hilo dogo, labda awe siyo mchungaji ni mchinjaji, yaani hawa wanaojiita ni wachungaji halafu huduma yao iko ule upande wa pili. Namshauri akamuone Mwl Mwkasege, Mzee wa Upako, Askofu Kakobe, Gwajima, Mwingira na wengine wengi tu list ni ndefu muno
 
I would advice that you don't take vengeance approach. Apart from taking yourself to greater risks, you surely won't truly get through your problem. You may try to solve this problem rationally, I don't undermine rationality in solving problems, but the only "rational" way of dealing with this kind or problems is to submit to Jesus Christ. I caution that there are so many bogus pastors around and getting a genuine man/woman of God may be challenging these days, but work out you way till you get a true servant of Jesus Christ. In those hands I can guarantee your problem will melt like wax on fire.
 
Yah nguvu ya positivity ndo inakua imani.....na niliweza sababu pia hua nafanyaga meditation+sala nyingi za kikatoliki ni kama guided meditation kwa sasa niko poa kabisa na mambo mengine naona yanafunguka
Amin
 
Tushauri na sisi hiyo aina ya sala tufaidike.
 
Hahahaha wachawi wanaangalia lugha mkuu? 😂 😂
No matter what you're, if you're targeted obviously you will be hit.
Jamaa achukue hatua tu vinginevyo Hawa wachawi wanarudisha sana nyuma watu kimaendeleo mpaka kimaradhi.
Mi nikajua wanatupiga sisi tu kumbe mpaka "team i love vou" wanapigwa?
Nalog off
 
na hayo mambo yapo kweli pole sana sielewi ntakupata vipi
 
You need a mental health doctor, Uchawi haupo
 
Lakini ukweli ni kwamba, no one can save you but yourself. Haiitaji a doctor kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…