Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtafute popoma GENTAMYCINE the shitbiterHabari nahitaji mtu aliepo Uganda
Awe na uzoefu wa masuala ya teknolojia na social media. Pia awe kijana mchangamfu yani kijana wa mjini ukipewa kazini unafanya kwa uhakika.
madam yupo jamaa ila shida anauza kisamvu na si haba ana mzima ww kutosha. Anaitwa POPOMA ni maarufu Sana kwa kuwauzia wanaume visamvuHabari nahitaji mtu aliepo Uganda
Awe na uzoefu wa masuala ya teknolojia na social media. Pia awe kijana mchangamfu yani kijana wa mjini ukipewa kazini unafanya kwa uhakika.
Nakasero nyuma ya Hotel ya FAIRWAY akifika hapo aulizie tu Mtanzania anayekaa katika Nyumba ya Kisasa kisha atakutana na Maaskari na aseme tu katoka Tanzania na nitaarifiwa na akisema katoka Tanzania nitaruhusu aingie ili aje kukutana nami kwa mara ya Kwanza kisha aje hapa JamiiForums awataarifu wale HATERS na wanaodhani NATANIA kuwa tunapokuwa hapa TUACHE KUDHARAURIANA na KUKARIRI maisha. Kitu ambacho sitotaka ni kuomba apige Picha nami japo Yeye nitampiga Picha bila ya Kujijua. Namkaribisha sana na kwa Kujiamini kabisa nimempa hiyo Ramani hivyo ashindwe Yeye tu.GENTAMYCINE he is in uganda
wow nice mr genta and she will be happy to see youNakasero nyuma ya Hotel ya FAIRWAY akifika hapo aulizie tu Mtanzania anayekaa katika Nyumba ya Kisasa kisha atakutana na Maaskari na aseme tu katoka Tanzania na nitaarifiwa na akisema katoka Tanzania nitaruhusu aingie ili aje kukutana nami kwa mara ya Kwanza kisha aje hapa JamiiForums awataarifu wale HATERS na wanaodhani NATANIA kuwa tunapokuwa hapa TUACHE KUDHARAURIANA na KUKARIRI maisha. Kitu ambacho sitotaka ni kuomba apige Picha nami japo Yeye nitampiga Picha bila ya Kujijua. Namkaribisha sana na kwa Kujiamini kabisa nimempa hiyo Ramani hivyo ashindwe Yeye tu.
ASANTE SANA MWENYEZI MUNGU NA HAKIKA HUWA HUCHAGULIWI WA KUMBARIKI NA NITAZIDI KUKUABUDU DAIMA BILA YA KUCHOKA.
Namkaribisha awe ni She / He na nimeshampa hiyo Ramani hatopotea ila ONYO sitaki mambo ya Simu wala Kurekodiana.wow nice mr genta and she will be happy to see you
bintiNamkaribisha awe ni She / He na nimeshampa hiyo Ramani hatopotea ila ONYO sitaki mambo ya Simu wala Kurekodiana.
Hakuna jambo la kudumu mkuu ile JF ya wakati ule ambayo ilikuwa na vichwa sana imeshapita tayari kwasasa tupo na hii ya vijana waliosoma shule za kataduu ndo maana Wa TZ tuko nyuma kifikra na kimaendeleo. Mtu anatafuta fursa za biashara na kutaka kutoa nafasi kwa vijana nyie mmeenda kwenye mambo ya ki&$#@zi kabisa.
Specifically nimesema awe anajua mambo ta teknolojia na social media, anyways walio serious wamejieleza all the best na fikra zenu mbaya
Mbona Makasiriko Mkuu? Nitajie namba yako ya MTN Mobile Money au Airtel Uganda nikurushie Hela kidogo Hasira ipoe.duu ndo maana Wa TZ tuko nyuma kifikra na kimaendeleo. Mtu anatafuta fursa za biashara na kutaka kutoa nafasi kwa vijana nyie mmeenda kwenye mambo ya ki&$#@zi kabisa.
Specifically nimesema awe anajua mambo ta teknolojia na social media, anyways walio serious wamejieleza all the best na fikra zenu mbaya
Its the evel of stupidy mnayoonyesha, au kwasababu nimesema vijana? Maana it can be anyone hata kijana wa kike.Mbona Makasiriko Mkuu? Nitajie namba yako ya MTN Mobile Money au Airtel Uganda nikurushie Hela kidogo Hasira ipoe.
Pole sana kwa Stress na Frustrations Mkuu. Nitumie namba yako ya Mobile Money ili nikuombe Radhi kwa Kukurushia Hela.Its the evel of stupidy mnayoonyesha, au kwasababu nimesema vijana? Maana it can be anyone hata kijana wa kike.
Any hows ilikua ni mchongo wa e-marketing na nilitaka kushare na watanzania wenzangu waliopo hayo maeneo coz saaa ingine sio kila kitu unapass kwa unaowajua.
Kwa style hii watu hawataacha kulalamika hakuna kazi
Uganda ndo wapi nyie watu wa dar?I'm sure your family needs the money more that I do. Adios
DsaHabari nahitaji mtu aliepo Uganda
Awe na uzoefu wa masuala ya teknolojia na social media. Pia awe kijana mchangamfu yani kijana wa mjini ukipewa kazini unafanya kwa uhakika.
Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer"Nakasero nyuma ya Hotel ya FAIRWAY akifika hapo aulizie tu Mtanzania anayekaa katika Nyumba ya Kisasa kisha atakutana na Maaskari na aseme tu katoka Tanzania na nitaarifiwa na akisema katoka Tanzania nitaruhusu aingie ili aje kukutana nami kwa mara ya Kwanza kisha aje hapa JamiiForums awataarifu wale HATERS na wanaodhani NATANIA kuwa tunapokuwa hapa TUACHE KUDHARAURIANA na KUKARIRI maisha. Kitu ambacho sitotaka ni kuomba apige Picha nami japo Yeye nitampiga Picha bila ya Kujijua. Namkaribisha sana na kwa Kujiamini kabisa nimempa hiyo Ramani hivyo ashindwe Yeye tu.
ASANTE SANA MWENYEZI MUNGU NA HAKIKA HUWA HUCHAGULIWI WA KUMBARIKI NA NITAZIDI KUKUABUDU DAIMA BILA YA KUCHOKA.
They are okay for what I often give them but now I feel like giving you also so that you can stop having that Frustration.I'm sure your family needs the money more that I do. Adios
GENTAMYCINEPurely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer"