Sisa Og
JF-Expert Member
- Apr 18, 2024
- 201
- 504
Habari zenu wakuu?
Nimekuwa nikijifunza english kwa mwaka sasa. Hasa pronouncing and listening skills.
Nimefanikiwa kwa kiwango kadhaa lakini changamoto kubwa ni kufanya mazoezi ya kutamka peke yangu. Watu ambao nimekuwa nikiwataka tuwe tunazungumza wananiona kama nimechanganyikiwa. Anyway, they don't know why I need to be fluent.
If you need someone to speak english with even on the phone or face to face and learning together, then am here.
If interested, please dm me
Gender : Male
Age : 25
Way of learning : listening to podcast, interview, online class, watching movies and reading
Nimekuwa nikijifunza english kwa mwaka sasa. Hasa pronouncing and listening skills.
Nimefanikiwa kwa kiwango kadhaa lakini changamoto kubwa ni kufanya mazoezi ya kutamka peke yangu. Watu ambao nimekuwa nikiwataka tuwe tunazungumza wananiona kama nimechanganyikiwa. Anyway, they don't know why I need to be fluent.
If you need someone to speak english with even on the phone or face to face and learning together, then am here.
If interested, please dm me
Gender : Male
Age : 25
Way of learning : listening to podcast, interview, online class, watching movies and reading