Nahitaji Mtu wa kuongea naye Kiingereza

Nahitaji Mtu wa kuongea naye Kiingereza

Habari zenu wakuu?
Nimekuwa nikijifunza english kwa mwaka sasa. Hasa pronouncing and listening skills.

Nimefanikiwa kwa kiwango kadhaa lakini changamoto kubwa ni kufanya mazoezi ya kutamka peke yangu. Watu ambao nimekuwa nikiwataka tuwe tunazungumza wananiona kama nimechanganyikiwa. Anyway, they don't know why I need to be fluent.

If you need someone to speak english with even on the phone or face to face and learning together, then am here.

If interested, please dm me

Gender : Male
Age : 25
Way of learning : listening to podcast, interview, online class, watching movies and reading
Yo warap ,no msaying ,wi gala go and gelale hia.
 
Habari zenu wakuu?
Nimekuwa nikijifunza english kwa mwaka sasa. Hasa pronouncing and listening skills.

Nimefanikiwa kwa kiwango kadhaa lakini changamoto kubwa ni kufanya mazoezi ya kutamka peke yangu. Watu ambao nimekuwa nikiwataka tuwe tunazungumza wananiona kama nimechanganyikiwa. Anyway, they don't know why I need to be fluent.

If you need someone to speak english with even on the phone or face to face and learning together, then am here.

If interested, please dm me

Gender : Male
Age : 25
Way of learning : listening to podcast, interview, online class, watching movies and reading
Si uende kwao wanyani ngabu
 
What About Written Form !? Maana Mimi nina Hearing impairment ( Usikivu Hafifu ) Hivyo Kuongea na Simu inasumbua Kidogo, ila Nipo Vzuri Kwenye Hiyo Lugha Si Haba.
What About Written Form !? Maana Mimi nina Hearing impairment ( Usikivu Hafifu ) Hivyo Kuongea na Simu inasumbua Kidogo, ila Nipo Vzuri Kwenye Hiyo Lugha Si Haba.
Sawa. Lengo kubwa ni kuongea na kusikia. Kuandika ni kwa kidogo sana. But kusikiliza ni bora kuliko vyote.
 
Back
Top Bottom