Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
a smooth sea can't made a good mariner.So you want someone to talk with, so youn't you?
M Ata sijui naishia tu salamu tu 😹Kongole mkuu,mm natafuta mfaransa wa bongo tubonge maana naelekea kukisahau.
a smooth sea can't made a good mariner.
*Makea smooth sea can't made a good mariner.
Yo warap ,no msaying ,wi gala go and gelale hia.Habari zenu wakuu?
Nimekuwa nikijifunza english kwa mwaka sasa. Hasa pronouncing and listening skills.
Nimefanikiwa kwa kiwango kadhaa lakini changamoto kubwa ni kufanya mazoezi ya kutamka peke yangu. Watu ambao nimekuwa nikiwataka tuwe tunazungumza wananiona kama nimechanganyikiwa. Anyway, they don't know why I need to be fluent.
If you need someone to speak english with even on the phone or face to face and learning together, then am here.
If interested, please dm me
Gender : Male
Age : 25
Way of learning : listening to podcast, interview, online class, watching movies and reading
You made my day khee😹😹 yo mamenYo warap ,no msaying ,wi gala go and gelale hia.
Ongea nae mjubaz, wewe piga kisungura hata ki mexico kita panda.Hongera mkuu and all the best 👏🏾👏🏾
saadmad yupo bongoYeah nipo Dar
A smooth sea never made a skilled sailor by Franklin D Roosevelt*Make
So ulikua una quote pres.A smooth sea never made a skilled sailor by Franklin D Roosevelt
Ukuje bwana.. safari ya kwanza ianzishe na nyingine ukikutana na machotara ya kiethiopia🤣🤣Kama hapa dar lina waka hivi huko si litakuwa la kutosha.
Nitakuja bwana kutimiza ndoto yangu
Si uende kwao wanyani ngabuHabari zenu wakuu?
Nimekuwa nikijifunza english kwa mwaka sasa. Hasa pronouncing and listening skills.
Nimefanikiwa kwa kiwango kadhaa lakini changamoto kubwa ni kufanya mazoezi ya kutamka peke yangu. Watu ambao nimekuwa nikiwataka tuwe tunazungumza wananiona kama nimechanganyikiwa. Anyway, they don't know why I need to be fluent.
If you need someone to speak english with even on the phone or face to face and learning together, then am here.
If interested, please dm me
Gender : Male
Age : 25
Way of learning : listening to podcast, interview, online class, watching movies and reading
Yeah kwann isiwezeHii inawezekana
What About Written Form !? Maana Mimi nina Hearing impairment ( Usikivu Hafifu ) Hivyo Kuongea na Simu inasumbua Kidogo, ila Nipo Vzuri Kwenye Hiyo Lugha Si Haba.
Sawa. Lengo kubwa ni kuongea na kusikia. Kuandika ni kwa kidogo sana. But kusikiliza ni bora kuliko vyote.What About Written Form !? Maana Mimi nina Hearing impairment ( Usikivu Hafifu ) Hivyo Kuongea na Simu inasumbua Kidogo, ila Nipo Vzuri Kwenye Hiyo Lugha Si Haba.