Sax
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 3,578
- 6,740
Ile nilipata kwa u.s marines.So ulikua una quote pres.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile nilipata kwa u.s marines.So ulikua una quote pres.
Ulifundishwa na Hayati Kombaha??Kongole mkuu,mm natafuta mfaransa wa bongo tubonge maana naelekea kukisahau.
Eh ndugu unasafari sawaIle nilipata kwa u.s marines.
Then Yanga Bingwa.a smooth sea can't made a good mariner.
Sir monsieur kombaha huyu kina donlucchese karms ndio zao lake. mm mkuu nilidrop out alliance francaise arusha.Ulifundishwa na Hayati Kombaha??
Maana tuliopita mikononi mwake tunakaribia kusahau hata le' jambe ni nini..
Bonuit..Sir monsiur kombaha hapana mkuu nilidrop out alliance france arusha.
Merci a toi aussi Sonko Bibo!Bonuit..
Me talk no English. Me like Stivi Mengelee toko Swahili. Me English good good better. Like English eating like fooding and drink. Thanks you so kindly and you are indeed welcome to chit chat with me if you like. Au revoir et merci beaucoup mon fille ou fils.Habari zenu wakuu?
Nimekuwa nikijifunza english kwa mwaka sasa. Hasa pronouncing and listening skills.
Nimefanikiwa kwa kiwango kadhaa lakini changamoto kubwa ni kufanya mazoezi ya kutamka peke yangu. Watu ambao nimekuwa nikiwataka tuwe tunazungumza wananiona kama nimechanganyikiwa. Anyway, they don't know why I need to be fluent.
If you need someone to speak english with even on the phone or face to face and learning together, then am here.
If interested, please dm me
Gender : Male
Age : 25
Way of learning : listening to podcast, interview, online class, watching movies and reading
Kwema mkuu😀😄😄Vincenzo Jr umejipata😂
Kingereza sio cha kila mtu. Mimi kimeshakaa kushotoOngea nae mjubaz, wewe piga kisungura hata ki mexico kita panda.
Habari zenu wakuu?
Nimekuwa nikijifunza english kwa mwaka sasa. Hasa pronouncing and listening skills.
Nimefanikiwa kwa kiwango kadhaa lakini changamoto kubwa ni kufanya mazoezi ya kutamka peke yangu. Watu ambao nimekuwa nikiwataka tuwe tunazungumza wananiona kama nimechanganyikiwa. Anyway, they don't know why I need to be fluent.
If you need someone to speak english with even on the phone or face to face and learning together, then am here.
If interested, please dm me
Gender : Male
Age : 25
Way of learning : listening to podcast, interview, online class, watching movies and reading
Hapo ndo amefeli, uzi wa kiswahili anatafuta wazungu.Uzi ungeanza kwa Kingereza
Siji sifii ila since nikiwa 7 nakichapa vyemaKingereza sio cha kila mtu. Mimi kimeshakaa kushoto
Hapo naona saa hii utakuwa na accent ya waingereza 😁... Nina fluency ya kueleweka Ila sina kiingereza cha kutisha katika mazungumzo ya kawaida. St. Kayumba imeniharibuSiji sifii ila since nikiwa 7 nakichapa vyema