Kuna namna kama umepitea hivi!Mtafute loora
Tupo Mangi, tunapotezana tu karibu sasa yayeda Chini uje ulione jua live live.๐๐๐Kuna namna kama umepitea hivi!
Upo kweli, za masiku?
Hehehe!!!Watu ambao nimekuwa nikiwataka tuwe tunazungumza wananiona kama nimechanganyikiwa.
Kama hapa dar lina waka hivi huko si litakuwa la kutosha.Tupo Mangi, tunapotezana tu karibu sasa yayeda Chini uje ulione jua live live.๐๐๐
Kama upo bongo karibu tujifunze woteHabari zenu wakuu?
Nimekuwa nikijifunza english kwa mwaka sasa. Hasa pronouncing and listening skills.
Nimefanikiwa kwa kiwango kadhaa lakini changamoto kubwa ni kufanya mazoezi ya kutamka peke yangu. Watu ambao nimekuwa nikiwataka tuwe tunazungumza wananiona kama nimechanganyikiwa. Anyway, they don't know why I need to be fluent.
If you need someone to speak english with even on the phone or face to face and learning together, then am here.
If interested, please dm me
Gender : Male
Age : 25
Way of learning : listening to podcast, interview, online class, watching movies and reading
Nadhani I have ample time hii miezi 2, kindly slide kwenye Dm yangu. Atleast niongeze network ya washkaji maana kuwa idle ni shida unaweza kuwa kichaaHabari zenu wakuu?
Nimekuwa nikijifunza english kwa mwaka sasa. Hasa pronouncing and listening skills.
Nimefanikiwa kwa kiwango kadhaa lakini changamoto kubwa ni kufanya mazoezi ya kutamka peke yangu. Watu ambao nimekuwa nikiwataka tuwe tunazungumza wananiona kama nimechanganyikiwa. Anyway, they don't know why I need to be fluent.
If you need someone to speak english with even on the phone or face to face and learning together, then am here.
If interested, please dm me
Gender : Male
Age : 25
Way of learning : listening to podcast, interview, online class, watching movies and reading
Namimi nije tafadhali nipo Bongo nyoso hahahahKama upo bongo karibu tujifunze wote
Sawa ngoja aje tujumuike Kwa pamojaNamimi nije tafadhali nipo Bongo nyoso hahahah
Nahisi nayo nzuri sema anataka ajue kuongeaWhat About Written Form !? Maana Mimi nina Hearing impairment ( Usikivu Hafifu ) Hivyo Kuongea na Simu inasumbua Kidogo, ila Nipo Vzuri Kwenye Hiyo Lugha Si Haba.
Job true trueKazi kweli kweli
๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐๐พJob true true
Pole sana mdau, nadhani kama una usikivu hafifu yet kuna namna tunaweza jifunza kutoka kwako sio lazima simu just meet up ndio best way. Akiweka data mtoa mada atakuridiaWhat About Written Form !? Maana Mimi nina Hearing impairment ( Usikivu Hafifu ) Hivyo Kuongea na Simu inasumbua Kidogo, ila Nipo Vzuri Kwenye Hiyo Lugha Si Haba.