Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
wewe panga siku uje niku fundishe ma vocabularyNataka siku tupige kingereza tupu Mimi na wewe kupitia call nione ujuba wako kwenye kutema Yai kama upo fluent with a confindence , papatupapatu kama Mimi au Kihuni kama Maghayo The Mongo
MuoneIt is up to him..Mimi nimemrahisishia kazi😂 mpenzi.
Acha hizo,utakuja sahau hata na ww hiyo lugha ya malkia..Muone
Shukrani sana mkuuKwemaa Mkuu....Hongera sana
English yako ni level gani?Hapo naona saa hii utakuwa na accent ya waingereza 😁... Nina fluency ya kueleweka Ila sina kiingereza cha kutisha katika mazungumzo ya kawaida. St. Kayumba imeniharibu
Congrats pia mkuu maana lugha ni muhim sana kwa baadhi ya fursa
Acha hizo,utakuja sahau hata na ww hiyo lugha ya malkia..
Mpe ushirikiano mleta mada.Ila chonde chonde awe na limits maana ww ni mpenzi wangu.
Mnaendeleaje hapo Texas?Yo warap ,no msaying ,wi gala go and gelale hia.
Kukijobha gwa kukaja!Ungekuwa KE ungepata watu wa kutosha kufanya nao mazoezi.
Ila kila la heri, natumai wanaojua watakufuata DM.
Ukitaka kujifunza kinyakyusa, mimi nipo hapa.
Nimechekaaa!Tatizo wengine mpaka tulewe kwanza.