BeautyQueen2017
New Member
- Feb 14, 2017
- 2
- 13
Nana acha kutusemea bhanaHivi umewaza nini kwanza!
We ndo hutaki mtoto unataka uwazalie wengine?!
Tanzania huwezi pata nenda ulaya
Hahaa umemuotea huyo,inaonyesha mzoefu humu kaamua tu kutumia acc bandiaBeauty hongera ila mwenzetu mgeni(unajua kutumia fursa) jana tu umejiunga leo ushaijua pm. Na biashara juu.
Naomba vigezo..kwani nipo tayari.HAbari zenu,
Kichwa cha habari kinahusika,
MImi ni binti 24years
Nahitaji wa kuzaa nae kwa njia za kisayansi kwa mkataba(makubaliano) maalumu.
Sihitaji mtoto wangu binafsi
Sihitaji Baba wa mtoto
Nahitaji mumenamke ambao wanahitaji mtoto wa damu yao na imeshindikana kwa njia ya kawaida.
Tupandikize mbegu nilee mimba punde nitakapojifungua wanamchukua mtoto wake.
Kama yupo aliyetayari tuwasiliane inbox(PM)
Tafadhali sihitaji ushauri ni maisha yangu nimeamua hivi.
Hahaa umemuotea huyo,inaonyesha mzoefu humu kaamua tu kutumia acc bandia
Huyu mwenyeji Sema ameamua kutumia fekeroBeauty hongera ila mwenzetu mgeni(unajua kutumia fursa) jana tu umejiunga leo ushaijua pm. Na biashara juu.
Huyu n member maarufuuBeauty hongera ila mwenzetu mgeni(unajua kutumia fursa) jana tu umejiunga leo ushaijua pm. Na biashara juu.