kiongozi ume lenga mule mule huyu miaka kweli kapunguza maana kama ana miaka 28 ange sema hata mwanaume wa kuanzia 30+Pole sana, hakuna msichana wa umuri wako ambae hajawahi kupata mchumba wa kumuoa. Shida kubwa wadada mkiwa hot mnavutia mnanyodo sana hasa ukute unakielimu kako kidogo kichwani au familia inakauwezo kamboga tatu basi tabu tupu, mbwembwe, pozi, maringo mengi mwisho ndio kama hivi.
Miaka 28 bado uliyoipunguza, ukizaa kwa mpango kupishanisha watoto kwa miaka mitano watoto 3 siutafia leba wewe?
PM meMimi ni msichana umri wangu ni miaka 28,nahitaji mwanaume ambae mungu akijaalia awe mume wangu wa ndoa.
Ni baada ya kukaa mda mrefu bila ya mahusiano... Awe tayari kuwa nami kwa shida na raha. Nami ntakuwa tayari kuwa nae kwenye shida na raha. Awe anafanya kazi halali ya kumuingizia kipato cha kuitunza familia yake..
Awe na umri kuanzia miaka 35 _40. Na awe tayari kwenda kucheki afya kabla ya yote.
Na pia sihitaji kujihusisha katika mapenzi mpaka ndoa.
Naamini kutakuwa na mwanaume mwenye hitaji la kweli Kama langu. Tuwe wakweli ..Sichagui dini.. Asanteni..
100% big upWanawake huwa wako hivyo, ukimfuata serious unataka kuoa, atakukejeli, oo mbona we mkubwa sana, ujana wako umekula na wengine unaniletea uzee wako! Halafu wanawakubali vijana masharo wanatafuna mahindi yote, likibaki gunzi ndiyo linawekewa masharti mpaka uoe ndipo uangalie hilo gunzi kama lina punje.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanawake huwa wako hivyo, ukimfuata serious unataka kuoa, atakukejeli, oo mbona we mkubwa sana, ujana wako umekula na wengine unaniletea uzee wako! Halafu wanawakubali vijana masharo wanatafuna mahindi yote, likibaki gunzi ndiyo linawekewa masharti mpaka uoe ndipo uangalie hilo gunzi kama lina punje.
Uko mkoa gani? Je wale waliokwisha achana na wake zao wanaruhusiwa? vígezi vingine vimetimiaMashukuru siwahitaji
picha pleaseMimi ni msichana umri wangu ni miaka 28,nahitaji mwanaume ambae mungu akijaalia awe mume wangu wa ndoa.
Ni baada ya kukaa mda mrefu bila ya mahusiano... Awe tayari kuwa nami kwa shida na raha. Nami ntakuwa tayari kuwa nae kwenye shida na raha. Awe anafanya kazi halali ya kumuingizia kipato cha kuitunza familia yake..
Awe na umri kuanzia miaka 35 _40. Na awe tayari kwenda kucheki afya kabla ya yote.
Na pia sihitaji kujihusisha katika mapenzi mpaka ndoa.
Naamini kutakuwa na mwanaume mwenye hitaji la kweli Kama langu. Tuwe wakweli ..Sichagui dini.. Asanteni..
Inasaidia nini????Nilishakuwa kwenye mahusiano. Na ndo mana nikaweka hivyo sihitaji sex kabla ya ndoa. Atakae kuwa tayari atakubaliana Nami
Sasa kama bora mpaka unafikia kutia tangazo ungeajikaza ukamalizia hiyo miaka michache ya kuishi make life span 48 tu.Bora nizeekee kwetu
Siku umeshaoa ndio unakuta mashine kama mfuko wa koti,breki pu.mbu..[emoji23][emoji23]Na hapo unakuta alishapigwa kavu saana pengine hata abortion amesha wahi kufanya alafu anataka huyo muoaji ndio ampe adhabu sijui mpaka ndoa ndio aanze kutumia hilo used hole.
Kwanza sijui nani anawadanganyaga kipimo cha mwanaume mwenye nia ya dhati ni kumnyima uchi kwanza wakati mtu mara nyingi mtu akishafika miaka 30 sex kwake ni sehemu ndogo sana ya maisha yake,na ni uendowazimu kumlaghai binti eti unataka kumuoa kwa ajiri ya kupata sex tu.
Shika ushikapo, - Lakini punguza ukali, ndoa inataka upole pia.Kwani si nimeamua mwenyewe. Kwani wa mtaani sijawaona... Acha kiherehere.kama huna cha kusema pita tu
Usiwe mkali.Ndo maana nimeweka hivyo. Nina misimamo yangu. Usinipangie
Lakini kwa staili hii,na majibu yake haya, huyo mtu wake, yatakuwa yamemkuta! Huyu mwacheni amngoje mtu wake, kumbukeni 'WANAWAKE WAZURI WAZURI WAMEOLEWA'Jamani tumuache dada wa watu atapata mtu wake anayemhitaji humu. Kila la heri.
Ungesema maneno haya wakati upo mwanamwali ungeeleweka.Bora nizeekee kwetu