I kept the convo thou [emoji23][emoji23][emoji85] [emoji85] [emoji85] you are embarassing me. Watu wakiona kwamba nlikunyima kitu nlichopewa bure si watanishangaa sana aisee
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]I kept the convo thou [emoji23][emoji23]
Hamna tatizo si umempa baba mtt yule
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Kwamba..?[emoji12][emoji13][emoji6]
U thot i ddnt knw
Kwamba..?
Love of my life my butt..[emoji23] [emoji23] ukimaliza huu usanii unaofanya hapa uje kwa piemu uniambie aliyekupa huo umbeaHe went thru the cracks n impregnanted the love of my life
[emoji854][emoji23]
Love of my life my butt..[emoji23] [emoji23] ukimaliza huu usanii unaofanya hapa uje kwa piemu uniambie aliyekupa huo umbea
Mimi ni msichana umri wangu ni miaka 28,nahitaji mwanaume ambae mungu akijaalia awe mume wangu wa ndoa.
Ni baada ya kukaa mda mrefu bila ya mahusiano... Awe tayari kuwa nami kwa shida na raha. Nami ntakuwa tayari kuwa nae kwenye shida na raha. Awe anafanya kazi halali ya kumuingizia kipato cha kuitunza familia yake..
Awe na umri kuanzia miaka 35 _40. Na awe tayari kwenda kucheki afya kabla ya yote.
Na pia sihitaji kujihusisha katika mapenzi mpaka ndoa.
Naamini kutakuwa na mwanaume mwenye hitaji la kweli Kama langu. Tuwe wakweli ..Sichagui dini.. Asanteni..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] imebidi nicheke tu..Hahahahahahaha
Rule no 3....No names....i saw u when u wea prego
Wala sio usanii ndio ukweli
Hehehehe cheka tu unenepe[emoji23] [emoji23] [emoji23] imebidi nicheke tu..
Wapi unapoishi, Nitafute kwa njia yoyote tufanye maishaMimi ni msichana umri wangu ni miaka 28,nahitaji mwanaume ambae mungu akijaalia awe mume wangu wa ndoa.
Ni baada ya kukaa mda mrefu bila ya mahusiano... Awe tayari kuwa nami kwa shida na raha. Nami ntakuwa tayari kuwa nae kwenye shida na raha. Awe anafanya kazi halali ya kumuingizia kipato cha kuitunza familia yake..
Awe na umri kuanzia miaka 35 _40. Na awe tayari kwenda kucheki afya kabla ya yote.
Na pia sihitaji kujihusisha katika mapenzi mpaka ndoa.
Naamini kutakuwa na mwanaume mwenye hitaji la kweli Kama langu. Tuwe wakweli ..Sichagui dini.. Asanteni..
Wapi unapoishi, Nitafute kwa njia yoyote tufanye maishaMimi ni msichana umri wangu ni miaka 28,nahitaji mwanaume ambae mungu akijaalia awe mume wangu wa ndoa.
Ni baada ya kukaa mda mrefu bila ya mahusiano... Awe tayari kuwa nami kwa shida na raha. Nami ntakuwa tayari kuwa nae kwenye shida na raha. Awe anafanya kazi halali ya kumuingizia kipato cha kuitunza familia yake..
Awe na umri kuanzia miaka 35 _40. Na awe tayari kwenda kucheki afya kabla ya yote.
Na pia sihitaji kujihusisha katika mapenzi mpaka ndoa.
Naamini kutakuwa na mwanaume mwenye hitaji la kweli Kama langu. Tuwe wakweli ..Sichagui dini.. Asanteni..
Ukweli mtupuWanawake huwa wako hivyo, ukimfuata serious unataka kuoa, atakukejeli, oo mbona we mkubwa sana, ujana wako umekula na wengine unaniletea uzee wako! Halafu wanawakubali vijana masharo wanatafuna mahindi yote, likibaki gunzi ndiyo linawekewa masharti mpaka uoe ndipo uangalie hilo gunzi kama lina punje.
hujalazimishwa. Samahani lakini .
Asante kwa kejeli zako.
Bora nizeekee kwetu
Ungekuwa huna cha kusema Hapa ungepita tu
Kujalazimishwa. Kwani nimekuambia nakutaka wewe
Wanajifanya miungi mtu hao.
Mkuu Mrs fiance acha kujizana na wanaokuletea dhihaka na mizaha kwa kadrii unavyo zidi kuwajibu ndivyo unavyo wapa kiki kuendelea na shombo zao.Kwani si nimeamua mwenyewe. Kwani wa mtaani sijawaona... Acha kiherehere.kama huna cha kusema pita tu
wewe mzee ushakula papuchi ngapi hadi leo?
wewe mzee wewe hapo ulipo umelala na picha ya papuchi! unaongea tu hata huyu dada ulitaka tu kumla! hupati kitu hapa
usipooa? ina maana atapitiwa na wangapi kisa ndoa ? si bora aache tu
wewe ni zaidi ya mbuzi
ahahaaa sizitaki mbichi hizi wakati unamendea hadi kuziota
usiwe tu mfuasi wa kibwetere dini zote anazikubali
Miss Natafuta heshima kwako!ulitaka akujibuje? tafuta bubu