Nahitaji mume aliye serious na ndoa na kupata watoto

T unaenda mbali sana siku hz hakuna wanawake
Unataka mume wakat huna sifa za kua mke?
Atitude ni disqualification kubwa sana
Sidhan kama huyu Dada unamaanisha unachokisema
 
T unaenda mbali sana siku hz hakuna wanawake
Unataka mume wakat huna sifa za kua mke?
Atitude ni disqualification kubwa sana
Sidhan kama huyu Dada unamaanisha unachokisema
wakuoa utakuwa wewe? kipi alichoandika cha ajabu? tafuta wa kwako unaemtaka
 
mume hakimbii kunyimwa papuchi?
Yaani ni hivi, yeye anasema hataki kuguswa mpaka ndoa na ukiangalia saivi wanawake wengi wanalalamika kuwa hwafikishwi kileleni ni vizuri akimpata amjaribu kama anapiga mzigo vizuri ajiridhishe. Na hvyohvyo kwa mwanaume naye ajiridhishe kuwa hii papuchi poa ndo ajicomit kwenye ndoa
 
Mume kamtafute kwenye nyumba za ibada halafu baada ya miaka kadhaa ya ndoa uje huku utuelezee raha na magumu unayoyapitia. Wanaume wa humu tuache tu kama tulivyo, wengi tumeshindikana. Wengine tunapenda kuchapia kwenye magari n.k
 
Mume kamtafute kwenye nyumba za ibada halafu baada ya miaka kadhaa ya ndoa uje huku utuelezee raha na magumu unayoyapitia. Wanaume wa humu tuache tu kama tulivyo, wengi tumeshindikana. Wengine tunapenda kuchapia kwenye magari n.k
mmeanza lini kusimamisha hadi mumchape mtu kwenye gari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…