Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mume hakimbii kunyimwa papuchi?Hili sharti la kusema hutaki papuchi iliwe mpaka ndoa ndo litakunyima mume
Ha ha ha haina makombo[emoji124] [emoji124] [emoji124]Yani wengine umewapa wamekula weee hawajaoa halaf ambae anataka kuoa ndio anaambiwa asubiri....hehehehehe
Miaka 28 jua limekaribia magharibi....ww unayo kazi halali?!
Mmmmhhh........ kwenye avatar yako hakyanani ni jini mahaba. Sio kwa kunoga huko!!kwani mtandaoni kuna majini?
wakuoa utakuwa wewe? kipi alichoandika cha ajabu? tafuta wa kwako unaemtakaT unaenda mbali sana siku hz hakuna wanawake
Unataka mume wakat huna sifa za kua mke?
Atitude ni disqualification kubwa sana
Sidhan kama huyu Dada unamaanisha unachokisema
Kama anataka kuolewa bila ngono si akadate shoga yakemnataka kuoa au mnataka ngono?
Yaani ni hivi, yeye anasema hataki kuguswa mpaka ndoa na ukiangalia saivi wanawake wengi wanalalamika kuwa hwafikishwi kileleni ni vizuri akimpata amjaribu kama anapiga mzigo vizuri ajiridhishe. Na hvyohvyo kwa mwanaume naye ajiridhishe kuwa hii papuchi poa ndo ajicomit kwenye ndoamume hakimbii kunyimwa papuchi?
Naona amekua wakala wakeNi sehemu gani nimesema nataka kumuoa?? Na mke wangu hapa kaingiaje? Na kibamia na kisukari changu kinakuhusu nini??
Haisomi kilometa mkuu.... na usiangalie nani kashuka we kalia kitiAsex na mtu baki???[emoji17]...........yaani wale wengine halafu mimi nije kuoa????[emoji30]
Wewe unataka nn au unataka kumuoa?unataka nini hapa?
Hujielewimume hakimbii kunyimwa papuchi?
Au labda ni yeye kwa ID nyingine. Wamama hivi sasa wana mastress sana... kuolewa kumekuwa adimu...Naona amekua wakala wake
atadate na mwanaume kama huwezi kaa kimya kuna watu kibao wapo tayari kukaa bila ngono hadi ndoaKama anataka kuolewa bila ngono si akadate shoga yake
Mume kamtafute kwenye nyumba za ibada halafu baada ya miaka kadhaa ya ndoa uje huku utuelezee raha na magumu unayoyapitia. Wanaume wa humu tuache tu kama tulivyo, wengi tumeshindikana. Wengine tunapenda kuchapia kwenye magari n.kMimi ni msichana umri wangu ni miaka 28,nahitaji mwanaume ambae mungu akijaalia awe mume wangu wa ndoa.
Ni baada ya kukaa mda mrefu bila ya mahusiano... Awe tayari kuwa nami kwa shida na raha. Nami ntakuwa tayari kuwa nae kwenye shida na raha. Awe anafanya kazi halali ya kumuingizia kipato cha kuitunza familia yake..
Awe na umri kuanzia miaka 35 _40. Na awe tayari kwenda kucheki afya kabla ya yote.
Na pia sihitaji kujihusisha katika mapenzi mpaka ndoa.
Naamini kutakuwa na mwanaume mwenye hitaji la kweli Kama langu. Tuwe wakweli ..Sichagui dini.. Asanteni..
Hujielewi
kumekuwa adimu kwani usipoolewa utakufa? na ukiolewa hufi? waoaji wenyewe mnapumulia oxygen hata hela ya boxer hadi baba mkwe atume mpesa?Au labda ni yeye kwa ID nyingine. Wamama hivi sasa wana mastress sana... kuolewa kumekuwa adimu...
mmeanza lini kusimamisha hadi mumchape mtu kwenye gari?Mume kamtafute kwenye nyumba za ibada halafu baada ya miaka kadhaa ya ndoa uje huku utuelezee raha na magumu unayoyapitia. Wanaume wa humu tuache tu kama tulivyo, wengi tumeshindikana. Wengine tunapenda kuchapia kwenye magari n.k
Labda awe na tabia za mzee kijanambona wapo kibao?
nataka aheshimiwe sio kudhihakiwaWewe unataka nn au unataka kumuoa?