Nahitaji mume nipo serious, itapendeza kama akiwa ni mwanasheria

Ukikosa mwanasheria,mpiga debe stand ya mabasi nipo hapa,hiyo ndio fani yangu pendwa.Kama itafika kipindi unahitaji mwanaume yeyote hauchagui proffesional!!
 
VP, una kesi?
 
Mliilie mungu wako akupe MTU wa kufanana na wewe. Over
 


Yani kujoin to jf unatafuta mabwana kumbuka hapa sio baduu we mtotoo
 
Umesha maliza ile kesi yako ya kwenye vikoba? Au ndiyo unataka aje akusaidie?

Wanasheria wapo wengi.utampata tu
 
Safi .
Karibu
 
Mimi sio mwanasheria ila nafanya kazi taasisi ya serikali. Karibu tuyajenge
 
Vipi umeshampata! Lete mlishonyuma, niangalie kama naweza kujitosa.
 
wa kuishi muda gani? kama kuishi tu mm niko tayari tuishi miaka mitano tu na hamna ndoa...upo tayari?
 
Dada unatafuta mume au mwanasheria akusaidie kesi zako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…