Perception mbaya sana, Unadhani mitandao ni dangulo?Umekiri kwamba fimbo zimekutembelea. Haya kila la heri. Ila mwanamume bora huji kumpata mtandaoni.
Mume au mke hupatikana popote, hata humu wapo serious na fake intelligence yako tu. Tatizo watu wengi wapo psychologically disrupted kwa kupigwa na vitu vizito.Perception mbaya sana, Unadhani mitandao ni dangulo?
Unadhani ni rahisi huyo dada/mama kuja hapa kuandika alichokiandika?
Naamini ni ngumu sana lakini kaamua kujitoa muhanga, ingawa hajajitaja jina lakini sio kitu rahisi kama unavyodhani.
Ungetoa na angalizo hao bora walipo, sio kusema tu huwezi pata mume bora mtandaoni.
Mtie moyo mwenzako, kasema yuko serious hachezi. Muonyeshe walipo kama unafahamu.
Mwezi wa 3 huu 😔😔Wewe wamekupiga ban ya Muda mfupi
Unakalia nini?Tako sina
KEYWORDSJamani nipo serious natafuta mume nahitaji mwanaume ambaye yupo serious kwaajili ya ndoa na kujenga familia.
Awe na mapenzi ya dhati maana napenda kupendwa na kudeka.
Awe baba kwa watoto wake pia rafiki kwa mimi mke wake yaani napenda mume ambaye ni rafik yangu
Mimi ni single mom ila kiuchumi nipo vizuri nina maisha yangu.
Sina mahusiano na baba mtoto wangu kiufupi maisha yamenipiga viboko sana kwahiyo nilijifunza vingi
Mimi ni mama bora wa familia pia mchapakazi.
Mume ukiwa na mtoto mmoja au wawili itapendeza.
Mume uwe unafanya kazi au biashara.
Mume mimi ni single mom ila sina njaa pia maisha yamenifundisha haswa kwahiyo najua life ni nini na thamani ya mume ni nini.
Kwa upendo wa dhati usithubutu mkuuHope urassa Kila siku unataka nikupeleke kwa babu kumbe we mwenyewe kuyakoroga. pesa ngapi zinakutosha manka
Anatafuta mume, sio kiben10Ushapata
Sasa mbna unampangia hivi na wewe 😂😂😂😂Anatafuta mume, sio kiben10
Poleeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tafuta kwanza ajira.-Umri
-Dini
-Mtazamo wako kuhusu ufeminia na 50/50.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vigezo vya Mume anayetaka huna.Sasa mbna unampangia hivi na wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuache kwanza tunajua sisi tunamalizana vipi [emoji23][emoji23][emoji23]