Nahitaji mume serious

Nahitaji mume serious

Status
Not open for further replies.
Umekiri kwamba fimbo zimekutembelea. Haya kila la heri. Ila mwanamume bora huji kumpata mtandaoni.
Perception mbaya sana, Unadhani mitandao ni dangulo?

Unadhani ni rahisi huyo dada/mama kuja hapa kuandika alichokiandika?

Naamini ni ngumu sana lakini kaamua kujitoa muhanga, ingawa hajajitaja jina lakini sio kitu rahisi kama unavyodhani.

Ungetoa na angalizo hao bora walipo, sio kusema tu huwezi pata mume bora mtandaoni.

Mtie moyo mwenzako, kasema yuko serious hachezi. Muonyeshe walipo kama unafahamu.
 
Perception mbaya sana, Unadhani mitandao ni dangulo?

Unadhani ni rahisi huyo dada/mama kuja hapa kuandika alichokiandika?

Naamini ni ngumu sana lakini kaamua kujitoa muhanga, ingawa hajajitaja jina lakini sio kitu rahisi kama unavyodhani.

Ungetoa na angalizo hao bora walipo, sio kusema tu huwezi pata mume bora mtandaoni.

Mtie moyo mwenzako, kasema yuko serious hachezi. Muonyeshe walipo kama unafahamu.
Mume au mke hupatikana popote, hata humu wapo serious na fake intelligence yako tu. Tatizo watu wengi wapo psychologically disrupted kwa kupigwa na vitu vizito.
 
Watoto wadeke na wewe udeke sasa kwenye hiyo nyumba ni nani atakuwa mke na nani atakuwa mtoto?? Inaonekana hata watoto una wadekeza sana kitu ambacho sio kizuri kwa maisha yao ya baadae, inawezekana aliyekuacha aliliona hili mapema sana.

Inatakiwa upigwe msasa wa maadili na shangazi zako kabla ya kutaka kuhamishia tabia zako mbovu kwa mwanaume mwingine ambaye ki uhalisia hamtodumu.
 
Jamani nipo serious natafuta mume nahitaji mwanaume ambaye yupo serious kwaajili ya ndoa na kujenga familia.

Awe na mapenzi ya dhati maana napenda kupendwa na kudeka.

Awe baba kwa watoto wake pia rafiki kwa mimi mke wake yaani napenda mume ambaye ni rafik yangu

Mimi ni single mom ila kiuchumi nipo vizuri nina maisha yangu.
Sina mahusiano na baba mtoto wangu kiufupi maisha yamenipiga viboko sana kwahiyo nilijifunza vingi

Mimi ni mama bora wa familia pia mchapakazi.

Mume ukiwa na mtoto mmoja au wawili itapendeza.

Mume uwe unafanya kazi au biashara.

Mume mimi ni single mom ila sina njaa pia maisha yamenifundisha haswa kwahiyo najua life ni nini na thamani ya mume ni nini.
KEYWORDS

"............Mimi ni single mom ila kiuchumi nipo vizuri nina maisha yangu Sina mahusiano na baba mtoto wangu........"

Mzingatie hapo hasa hapo kwenye nyekundu
 
Changamoto nikikuweka ndani ukatulia.

Utamkumbuka baba wa huyo Mtoto na kutaka amuone Mtoto.
 
Fursa hio!muwe mnaleta mrejesho ili kuwapa motisha wengne kuwa inawezekana kupata mwenzi humu!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom