antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Aysee.. ila ukimiliki multiple ids zinabumburuka kirahisi tuukila mwanachama zingatia kanuni zifuatazo uwapo jf
kanuni ya 1 : usiri
kanuni ya 2: usiri
kanuni ya 3: usiri
kanuni ya 4: usimwamini kila mtu
kanuni ya 5: usiamini kila taarifa
kanuni ya 6: kuwa makini
kanuni ya 7: miliki lD zaidi ya 1
kila la heri mleta mada
mungu akutimizie hitaji lako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkuu meza na thoda tuAwe mkristo na awe na HOFU YA MUNGU,alafu wewe una mtoto mmoja.....ulishawahi kuolewa?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nyie watu bhaana. Mbona wengi tu wameoa wanawake ambao wamewakuta washazaa na life linakwenda?mimi tukikubaliana ukanionyeshe kwanza kaburi na cheti cha kifo cha huyo uliyezaa naye
Angalau degree moja..!Nina mtoto mmoja
Madame avata ni weweall the best madame
Yeye mwenyewe ashakuwa mzinzi huko aafu wewe ndio uwe na hofu ya Mungu.Awe mkristo na awe na HOFU YA MUNGU,alafu wewe una mtoto mmoja.....ulishawahi kuolewa?
Mkuu hilo lilishajibiwa.....dini zetu zinaamini katika toba.Yeye mwenyewe ashakuwa mzinzi huko aafu wewe ndio uwe na hofu ya Mungu.