Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mabaharia mshaanza hahaaaBABA WA HUYO MTOTO BADO YUPO HAI???
Habari yako mkuu,nashukuru kwa mchango wako,dini yangu sio tu kwamba ina neno toba ila inaamini katika toba,kama nilivyosema awali swali langu lilikuwa ni fikirishi tu ila nimegundua nimelileta sehemu ambayo sio sahihi.Jamii huwa tunapenda kuwanyooshea vidole wanawake waliozaa kabla ya kuolewa na kusahau kuchukulia uzito wimbi la utoaji mimba kwa mabinti.Uwe na siku njema.Dini yako ina neno linaloitwa "TOBA"?
Hili swali lako hahaha imebidi nichekeUnaishi mkoa gani? Baba wa mtoto yupo hai?
Wakija na Id za kale mutaenda huko PM Mkuu?Kwanini wanawake wanaotafuta wanaume hapa wote ID mpya?
Hili swali lako hahaha imebidi nicheke
(Baba watoto yupo hai)
Aisee lakini, Ni kweli kabisaMuhimu kunua maana watu wasije wakawa wanapasha viporo bure.
Kasome mkuu[emoji16]Nimekosa sifa moja tuu digrii, sisi tusiyo na digrii tuende wapi
ndio tutaenda kwa sababu tutaiyamini kuliko mpya kila kukicha je kama jikedume tunahofu na ilo ndio maana hawapati wakitakachoWakija na Id za kale mutaenda huko PM Mkuu?
Duuh!! Ila sio mbaya lakini hasa ikiwa mtu anataka kufungua ukurasa mpya Mkuu.ndio tutaenda kwa sababu tutaiyamini kuliko mpya kila kukicha je kama jikedume tunahofu na ilo ndio maana hawapati wakitakacho
Ndio hivyo mkuu wengine matapeli.Duuh!! Ila sio mbaya lakini hasa ikiwa mtu anataka kufungua ukurasa mpya Mkuu.
Japo hiyo ya kwamba ni dume pia nalo ni neno ila njia ya mwongo siku zote huwa ni fupi hivyo kumgundua yaweza kuwa rahisi pia.