Nahitaji Mume

Nahitaji Mume

Dini yako ina neno linaloitwa "TOBA"?
Habari yako mkuu,nashukuru kwa mchango wako,dini yangu sio tu kwamba ina neno toba ila inaamini katika toba,kama nilivyosema awali swali langu lilikuwa ni fikirishi tu ila nimegundua nimelileta sehemu ambayo sio sahihi.Jamii huwa tunapenda kuwanyooshea vidole wanawake waliozaa kabla ya kuolewa na kusahau kuchukulia uzito wimbi la utoaji mimba kwa mabinti.Uwe na siku njema.
 
ndio tutaenda kwa sababu tutaiyamini kuliko mpya kila kukicha je kama jikedume tunahofu na ilo ndio maana hawapati wakitakacho
Duuh!! Ila sio mbaya lakini hasa ikiwa mtu anataka kufungua ukurasa mpya Mkuu.

Japo hiyo ya kwamba ni dume pia nalo ni neno ila njia ya mwongo siku zote huwa ni fupi hivyo kumgundua yaweza kuwa rahisi pia.
 
Duuh!! Ila sio mbaya lakini hasa ikiwa mtu anataka kufungua ukurasa mpya Mkuu.

Japo hiyo ya kwamba ni dume pia nalo ni neno ila njia ya mwongo siku zote huwa ni fupi hivyo kumgundua yaweza kuwa rahisi pia.
Ndio hivyo mkuu wengine matapeli.
 
Degree moja emsesha wewe? Ndipo mnapokosea wanawake. Kuna wanaume wenye mafanikio makubwa sana kuliko hao wa degree unaohangaika nao.
Omba umpatewanaume mwema, mengine mtasaidiana kutafuta. Wanawake wa kitanzania mnapenda Sana mteremko, mnapenda mkute mtu ameahafanikiwa badala ya kutafuta mtu wa kujenga maisha kwa pamoja
 
Back
Top Bottom