Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha woga mkuu nenda pmMiaka 32 alaf singo maza bad unachagua? Umri umeshaenda huo legeza mashart umeshapoteza vigezo vingi sana kwa wajuba
Looh!Miaka 32 alaf singo maza bad unachagua? Umri umeshaenda huo legeza mashart umeshapoteza vigezo vingi sana kwa wajuba
Ni sahihi kwako lakini haipaswi kuwa sahihi kwangu!Ndiyo maana huu Uzi na vigezo nimeweka Mimi kwa matakwa yangu na si niaba ya mtu yeyote.Degree moja emsesha wewe? Ndipo mnapokosea wanawake. Kuna wanaume wenye mafanikio makubwa sana kuliko hao wa degree unaohangaika nao.
Omba umpatewanaume mwema, mengine mtasaidiana kutafuta. Wanawake wa kitanzania mnapenda Sana mteremko, mnapenda mkute mtu ameahafanikiwa badala ya kutafuta mtu wa kujenga maisha kwa pamoja
Nimekosa sifa moja tuu digrii, sisi tusiyo na digrii tuende wapi
https://www.jamiiforums.com/threads...ingia-kwenye-definition-moja-ya-kifo.1748423/Habari Wana Jf,
Mimi ni mwanamke wa miaka 32. Najitokeza kutafuta mwanaume matured kuanza naye mahusiano kuelekea ndoa. Nina amini mahusiano huanzia popote.
Awe
-Mkristo na awe na hofu ya Mungu.
- Mwenye Nia ya dhati na utayari wa mahusiano
-Umri kuanzia 32 -45 yrs
-Awe na shughuli halali ya kuingiza kipato elimu angalau degree moja.
-Muwazi na mkweli
Kwa upande Wangu
-Mimi ni mkristo
-Nina mtoto mmoja
-Nina shughuli ya kuniingizia kipato na elimu yangu ni degree moja
-Muwazi na mkweli
Aliye na Nia karibu PM .
Asante!
njoo DM nikupe namba za PATROBAS KATAMBI, anatafuta mkeHabari Wana Jf,
Mimi ni mwanamke wa miaka 32. Najitokeza kutafuta mwanaume matured kuanza naye mahusiano kuelekea ndoa. Nina amini mahusiano huanzia popote.
Awe
-Mkristo na awe na hofu ya Mungu.
- Mwenye Nia ya dhati na utayari wa mahusiano
-Umri kuanzia 32 -45 yrs
-Awe na shughuli halali ya kuingiza kipato elimu angalau degree moja.
-Muwazi na mkweli
Kwa upande Wangu
-Mimi ni mkristo
-Nina mtoto mmoja
-Nina shughuli ya kuniingizia kipato na elimu yangu ni degree moja
-Muwazi na mkweli
Aliye na Nia karibu PM .
Asante!
Mkuu thread yangu inasema mwenye Nia aje pm not otherwise. Huyo unayempendekeza mpe thread link then yeye aamue kuja Pm. Asantenjoo DM nikupe namba za PATROBAS KATAMBI, anatafuta mke
Na ya ndugu yetu kunambinjoo DM nikupe namba za PATROBAS KATAMBI, anatafuta mke
Connections sizihitaji wakuu.Nadhani mnanielewaNa ya ndugu yetu kunambi
Unahitaji nn mkuuConnections sizihitaji wakuu.Nadhani mnanielewa
Umeeleweka mkuu Asante.Tuliona kimya tukataka angalau mrejeshoMkuu thread yangu inasema mwenye Nia aje pm not otherwise. Huyo unayempendekeza mpe thread link then yeye aamue kuja Pm. Asante