kingSuley87
Member
- Nov 27, 2017
- 38
- 37
- Thread starter
- #41
Asante ndugu maombi yako pia muhimuZungukazunguka brother, unaweza pata mke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante ndugu maombi yako pia muhimuZungukazunguka brother, unaweza pata mke
OkKuna jirani yangu yupo Matombo ngoja nimwambie akutafute kama mtawezana itakuwa jambo jema.
Ameen maombi yako mkuuHilo unalosema ndo mungu anapenda we chukua jiko tu
Ameeen umenitia moyo sana ndugu Mungu akubariki sana sana.Mungu akupatie hitaji LA moyo wako,muujiza wako IPO,endelea kuomba kwa bidii,Mungu wetu so kigeugeu,akiongea,habatilishi,na ahadi zake ni kweli na amina,maana ktk mojawapo ya ahadi ni kwamba"so vema MTU huyu akaishi peke YAKE,nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye"na itimie kwako
Basi uwe umejiajili au wajishugulisha out of that ujiandae kutafutiwa cha kufanya yani kukufungulia hata biasharaNa tusio na ajira
hapo nmeelewaBasi uwe umejiajili au wajishugulisha out of that ujiandae kutafutiwa cha kufanya yani kukufungulia hata biashara
Okhapo nmeelewa
Jamani nipo seriousSasa unatafuta mke alafu hujibu pm uko serious kweli?
Sijajiunga kwenye PM naomba nielekeze nifanyeje!?sifanyi makusudi kweli ninahitaji mkeSasa unatafuta mke alafu hujibu pm uko serious kweli?
OK but tutambuwane ili kila mmoja aridhie kuwa na mwenzieMm nataka nianzishe mahusiano mwaka mpya nisubir basi bado sku chache naweka nafasi kabisa
OkyOK but tutambuwane ili kila mmoja aridhie kuwa na mwenzie
mi nahisi nitakufaa vigezo nimekidhiBado sijapata mwanamke aliye serious ambae anahitaji kuolewa please najuwa si rahisi sana but najipa moyo nitampata
Sifa zangu:
Umri wangu 30y.o
Elimu chuo kikuu(bachelor of political science and public administration)
Kazi ni mfanya biashara
Sifa za nimtakae:
Umri kuanzia 18y.o mpaka 45y.o
Elimu kuanzia kidato cha nne
Awe ameajiliwa au kajiajili
Dini yoyote
Kiukweli sina mavigezo mengi sana ila nahitaji mwenza anaye jitambuwa anae elewa maisha ni nini.
Kwa aliye tayari please nicheki kwa namba 0715717651
No. Iko mezan tumia fursami nahisi nitakufaa vigezo nimekidhi