kingSuley87
Member
- Nov 27, 2017
- 38
- 37
- Thread starter
- #61
Karibumi nahisi nitakufaa vigezo nimekidhi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibumi nahisi nitakufaa vigezo nimekidhi
[emoji85] [emoji85] [emoji85]No. Iko mezan tumia fursa
Walijitokeza ila vigezo hawakukidhiMara ya kwanza ilikuaje? Hawakujitokeza ama? Kila la kheri ndugu..
Wewe una vigezo wanavyovitaka?Walijitokeza ila vigezo hawakukidhi
Ndiyomaana nikaweka hadharani Kwa muhitajiWewe una vigezo wanavyovitaka?
Hahahahahahaaaaaa sawa Mkuu Mungu atasaidiaHiyo course uliyosomea huenda Ndio maana hawataki kujitokeza[emoji41]
Jokes mkuu
But I doubt km Kuna waarabu na Hao Shombe Shombe wengi humu!
Sasa ukipata wenye miaka 40 na umri wa mwanamke kuzaa mwisho miaka 35 wafanyaje hapo?Salaam aleyku ndugu zangu,kwa majina Naitwa Suleyman nimejitokeza tena Nikihitaji mwenza wa maisha (mke) .
Sifa zangu:
Nina umri wa Miaka 31
Elimu chuo kikuu(bachelor of political science and public administration)
Kazi Mimi ni mfanya biashara.
Kabila Mnyamwezi
Ninakoishi dar Es salaam
Mrefu, mwembamba kiasi, Si mweupe sana wala mweusi.
Mawasiliano 0715717651
Sifa za nimtakae:
Umri kuanzia miaka 18 mpaka 40
Elimu kuanzia kidato cha nne
Awe mwarabu au shombe shombe wa kiarabu.
Awe mwislamu
Naamini Allah yupo nami na soon mke wangu nitampata.
Asa nyie waislam kwan mnatongoza c unaenda kwa mashkhe unachaguliwa au kwa wenye mabinti unawambia....unaletewa mpaka ndan!!...asa unabwabwaja apa nn!!....Salaam aleyku ndugu zangu,kwa majina Naitwa Suleyman nimejitokeza tena Nikihitaji mwenza wa maisha (mke) .
Sifa zangu:
Nina umri wa Miaka 31
Elimu chuo kikuu(bachelor of political science and public administration)
Kazi Mimi ni mfanya biashara.
Kabila Mnyamwezi
Ninakoishi dar Es salaam
Mrefu, mwembamba kiasi, Si mweupe sana wala mweusi.
Mawasiliano 0715717651
Sifa za nimtakae:
Umri kuanzia miaka 18 mpaka 40
Elimu kuanzia kidato cha nne
Awe mwarabu au shombe shombe wa kiarabu.
Awe mwislamu
Naamini Allah yupo nami na soon mke wangu nitampata.
Ungewawekea na sura yako!!... Wanawake wenyewe wanataka wanaume wene mvuto.....saa kama na sura yako kaa unafanyia kiwanda cha kutengeneza sumu unaeza chelewaSalaam aleyku ndugu zangu,kwa majina Naitwa Suleyman nimejitokeza tena Nikihitaji mwenza wa maisha (mke) .
Sifa zangu:
Nina umri wa Miaka 31
Elimu chuo kikuu(bachelor of political science and public administration)
Kazi Mimi ni mfanya biashara.
Kabila Mnyamwezi
Ninakoishi dar Es salaam
Mrefu, mwembamba kiasi, Si mweupe sana wala mweusi.
Mawasiliano 0715717651
Sifa za nimtakae:
Umri kuanzia miaka 18 mpaka 40
Elimu kuanzia kidato cha nne
Awe mwarabu au shombe shombe wa kiarabu.
Awe mwislamu
Naamini Allah yupo nami na soon mke wangu nitampata.
acha kumkatisha tamaa.wanaangalia wallet tu.sura ata mbuzi anayoUngewawekea na sura yako!!... Wanawake wenyewe wanataka wanaume wene mvuto.....saa kama na sura yako kaa unafanyia kiwanda cha kutengeneza sumu unaeza chelewa
Asa mkuu huyu angekua na hela ata asingekuja apa angekua ashawapata hata miaacha kumkatisha tamaa.wanaangalia wallet tu.sura ata mbuzi anayo
Si Lazima kuzaa nachohitaji ni Faraja ya moyo wangu Hayo mengine ni majaliwa ya MolaSasa ukipata wenye miaka 40 na umri wa mwanamke kuzaa mwisho miaka 35 wafanyaje hapo?