Nahitaji Mwanamke mwenye Umasikini kama wangu ili tupendane Kidhati na tushirikiane Kuinuka Kimaisha

Nahitaji Mwanamke mwenye Umasikini kama wangu ili tupendane Kidhati na tushirikiane Kuinuka Kimaisha

Sijui ni lini Nuts and Uncivilized People kama Wewe ( Nyie ) mtapungua kama siyo Kupukutika kabisa Tanzania au Duniani kabisa..
unavyokazana kujionyesha literate basi mi hoi. hekima ndo kila ktu kuliko hiko kinge chako cha Ras
 
Nigga gets irritated easily.

Mwanzo nikadhani ni Kisandu. Nikakumbuka Kisandu hana tabia ya kufungua id mpya.

Uandishi wake umegive in. Huyu ni popoma anayependa sana kuandika habari za Simba, hasira za haraka na kuandika vitu zaidi ya vinne na vyote vina maana moja.
 
unavyokazana kujionyesha literate basi mi hoi. hekima ndo kila ktu kuliko hiko kinge chako cha Ras
Naona bado Unahangaika na Kulazimisha Kujipendekeza Kwangu Dada si nimeshakuambia sikutaki? Tatizo lako nini? Na kwanini Unahangaika kuja na Multiple ID's zako Kujibizana nami?

Mbona Wanaume wapo wengi tu hapa kwanini Uhangaike na Mimi ambaye ni Masikini wa Kutupwa na nina Changamoto zangu nyingi tu?

Sasa kama Wewe umeshajiua una Hekima na unajua Kiingereza unachosumbuka na Mimi nisiye na Hekima na nisiyejua Kiingereza kama Wewe Mrembo, Msomi na Tajiri ni nini?
 
Jinsia KE wamehisi unawapiga fix mkuu...
Kwahiyo Mimi kusema ni Masikini na nina Changamoto zangu nyingi za Kimaisha ndiyo wanahisi nawadanganya?

Kwahiyo walitaka niwadanganye kuwa Mimi ni Mshindi wa Pili wa Utajiri Tanzania nzima nikizidiwa na Mohammed Mo Dewji ndipo Wanikubali na Wanichangamkie kunitafuta, kunipenda na Kunikubali?

Nasisitiza Kwako hao Wanawake kupitia Kwako Wewe kuwa Mimi ni Masikini na nina Changamoto zangu nyingi tu za Maisha na namtafuta Masikini Mwenzangu ili tupambane pamoja na hatimaye tuweze Kuinuka pamoja pia Kimaisha.
 
Kwahiyo Mimi kusema ni Masikini na nina Changamoto zangu nyingi za Kimaisha ndiyo wanahisi nawadanganya?

Kwahiyo walitaka niwadanganye kuwa Mimi ni Mshindi wa Pili wa Utajiri Tanzania nzima nikizidiwa na Mohammed Mo Dewji ndipo Wanikubali na Wanichangamkie kunitafuta, kunipenda na Kunikubali?

Nasisitiza Kwako hao Wanawake kupitia Kwako Wewe kuwa Mimi ni Masikini na nina Changamoto zangu nyingi tu za Maisha na namtafuta Masikini Mwenzangu ili tupambane pamoja na hatimaye tuweze Kuinuka pamoja pia Kimaisha.
Pole sana mkuu.
 
Naona bado Unahangaika na Kulazimisha Kujipendekeza Kwangu Dada si nimeshakuambia sikutaki? Tatizo lako nini? Na kwanini Unahangaika kuja na Multiple ID's zako Kujibizana nami?

Mbona Wanaume wapo wengi tu hapa kwanini Uhangaike na Mimi ambaye ni Masikini wa Kutupwa na nina Changamoto zangu nyingi tu?

Sasa kama Wewe umeshajiua una Hekima na unajua Kiingereza unachosumbuka na Mimi nisiye na Hekima na nisiyejua Kiingereza kama Wewe Mrembo, Msomi na Tajiri ni nini?
m nitumie id's kwa ajili yako? endelea kujifariji kijana maskini. utajiri unakuja utapunguza hasira
 
Back
Top Bottom