Na jazba aliyonayo ndoa ikivuka mwezi sijuiHuyo ndoa hawezi hata kidogo..
Hata kuhimili mikiki mikiki ya ndoa hawezi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na jazba aliyonayo ndoa ikivuka mwezi sijuiHuyo ndoa hawezi hata kidogo..
Hata kuhimili mikiki mikiki ya ndoa hawezi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
unavyokazana kujionyesha literate basi mi hoi. hekima ndo kila ktu kuliko hiko kinge chako cha RasSijui ni lini Nuts and Uncivilized People kama Wewe ( Nyie ) mtapungua kama siyo Kupukutika kabisa Tanzania au Duniani kabisa..
Mmechokoza maskini, haya sasa kaanza kurusha mawe.unavyokazana kujionyesha literate basi mi hoi. hekima ndo kila ktu kuliko hiko kinge chako cha Ras
Jinsia KE wamehisi unawapiga fix mkuu...Kama unaona hunihitaji au sina Sifa za kuwa nawe achana na Mimi tafuta wa Level yako mbona wapo wengi tu hapa kwanini mhangaike na Masikini Mimi?
Ana hasira over nn sijui huyu jamaaMmechokoza maskini, haya sasa kaanza kurusha mawe.
Nawe pia.Mungu akawe mfariji wako
Naona bado Unahangaika na Kulazimisha Kujipendekeza Kwangu Dada si nimeshakuambia sikutaki? Tatizo lako nini? Na kwanini Unahangaika kuja na Multiple ID's zako Kujibizana nami?unavyokazana kujionyesha literate basi mi hoi. hekima ndo kila ktu kuliko hiko kinge chako cha Ras
Kwahiyo Mimi kusema ni Masikini na nina Changamoto zangu nyingi za Kimaisha ndiyo wanahisi nawadanganya?Jinsia KE wamehisi unawapiga fix mkuu...
Pole sana mkuu.Kwahiyo Mimi kusema ni Masikini na nina Changamoto zangu nyingi za Kimaisha ndiyo wanahisi nawadanganya?
Kwahiyo walitaka niwadanganye kuwa Mimi ni Mshindi wa Pili wa Utajiri Tanzania nzima nikizidiwa na Mohammed Mo Dewji ndipo Wanikubali na Wanichangamkie kunitafuta, kunipenda na Kunikubali?
Nasisitiza Kwako hao Wanawake kupitia Kwako Wewe kuwa Mimi ni Masikini na nina Changamoto zangu nyingi tu za Maisha na namtafuta Masikini Mwenzangu ili tupambane pamoja na hatimaye tuweze Kuinuka pamoja pia Kimaisha.
m nitumie id's kwa ajili yako? endelea kujifariji kijana maskini. utajiri unakuja utapunguza hasiraNaona bado Unahangaika na Kulazimisha Kujipendekeza Kwangu Dada si nimeshakuambia sikutaki? Tatizo lako nini? Na kwanini Unahangaika kuja na Multiple ID's zako Kujibizana nami?
Mbona Wanaume wapo wengi tu hapa kwanini Uhangaike na Mimi ambaye ni Masikini wa Kutupwa na nina Changamoto zangu nyingi tu?
Sasa kama Wewe umeshajiua una Hekima na unajua Kiingereza unachosumbuka na Mimi nisiye na Hekima na nisiyejua Kiingereza kama Wewe Mrembo, Msomi na Tajiri ni nini?
Nikiwa nawe Mpumbavu hata Masaa 12 hayatozidi.Na jazba aliyonayo ndoa ikivuka mwezi sijui
Hongera kwa kuwa Tajiri Mpumbavu.m nitumie id's kwa ajili yako? endelea kujifariji kijana maskini. utajiri unakuja utapunguza hasira
Pole kwani ninaumwa au nipo ICU nakaribia Kufa?Pole sana mkuu.
What a Foolish query...!!!Gentamicine are you you??? 🤔
mr matusi katika ubora wakoNikiwa nawe Mpumbavu hata Masaa 12 hayatozidi.
Ni kawaida hasa nikikutana na Nuts wa aina yako.Ana hasira over nn sijui huyu jamaa
ndo tusi lako la mwaka he he he, depression is realHongera kwa kuwa Tajiri Mpumbavu.
Matusi unayajua? Watafute BAKITA wakuelimishe.mr matusi katika ubora wako