Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,659
Huu nao ni ubaguzi! Kwa nini uweke bandiko lisilowahusu watu wengine?Samahan sijaweka bandiko la kutangaza injili..that's y nkasema ukiona halikuhusu upite kimya kimya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu nao ni ubaguzi! Kwa nini uweke bandiko lisilowahusu watu wengine?Samahan sijaweka bandiko la kutangaza injili..that's y nkasema ukiona halikuhusu upite kimya kimya
Tafuta na mume hukohuko..! Maana siye tukitia mguu tu kijijini madem wote ni vita..! Vipi wanaume huko hawawapiganii??Nshafika tayar naisubir j3 tayar kwa kuvaa nguo mpya na kula pilau
We una ujasiri wa kubagua wafupi ila wewe ni mfupi na unataka kuwa considered. Maajabu hayataisha ulimwenguniWewe mfupi ila hutaki mwenza mfupi , je kama wewe umeona wafupi hawafai je wengine waone vipi?
Mi nakunywa pombe kwahivyo sifa sina?Habari wanafamilia wa jf
Mwaka unaisha sasa umri wakuwa na familia umefika..nahitaji kuwa na mahusiano yatakayo pelekea ndoa hatimaye familia.
Umri wangu 28yrs
Elimu bachelor's
Mfupi, maji ya kunde
Nimeajiriwa
Mwanaume ninaye wsh kuwa naye
Umri 30-37yrs,
elimu kuanzia form 6 na kuendelea,
awe mkristo
kabila lolote,
rangi yoyote
ila asiwe mfupi,
Aliyeajiriwa au kajiajiri
Asiwe mlevi
Asiyetumia bangi wala sigara
Am serious mwenye kigezo anakaribishwa pm..
Angalizo: Sipendi dharau ukiona bandiko halikuhusu pita kimya kmya.
Merry chrismass and happy new year..[emoji268]
Injili ndiyo umeitumia kukazia kwamba unataka mkristo. ....! Kumbe wewe hutaki tutumie injili kukuelimisha! Kwa taarifa mwanamke ndio anatakiwa afuate dini ya mumewe! Ushahidi Mwanzo 2:24 ....Samahan sijaweka bandiko la kutangaza injili..that's y nkasema ukiona halikuhusu upite kimya kimya
Ama kweli zama za magumashi hizi. Siku hizi wadada zamu yenu kuwatongoza waume, ati? Nasikia kama ka-harufu ka methali isemayo !...kibaya chajitembeza..."! Nadhan nimepita kimya, nisikoromewe bure mweeee.....Habari wanafamilia wa jf
Mwaka unaisha sasa umri wakuwa na familia umefika..nahitaji kuwa na mahusiano yatakayo pelekea ndoa hatimaye familia.
Umri wangu 28yrs
Elimu bachelor's
Mfupi, maji ya kunde
Nimeajiriwa
Mwanaume ninaye wsh kuwa naye
Umri 30-37yrs,
elimu kuanzia form 6 na kuendelea,
awe mkristo
kabila lolote,
rangi yoyote
ila asiwe mfupi,
Aliyeajiriwa au kajiajiri
Asiwe mlevi
Asiyetumia bangi wala sigara
Am serious mwenye kigezo anakaribishwa pm..
Angalizo: Sipendi dharau ukiona bandiko halikuhusu pita kimya kmya.
Merry chrismass and happy new year..[emoji268]
Vigezo vyote mi niko navyo kasoro kwenye bangi, ila Mimi bangi huitumia kwenye shughuli zangu za kiofisi ambayo hunifanya kuwa na utendaji kazi uliotukuka, hivyo kama itakuwa siyo issue sana kwako karibu sana pmHabari wanafamilia wa jf
Mwaka unaisha sasa umri wakuwa na familia umefika..nahitaji kuwa na mahusiano yatakayo pelekea ndoa hatimaye familia.
Umri wangu 28yrs
Elimu bachelor's
Mfupi, maji ya kunde
Nimeajiriwa
Mwanaume ninaye wsh kuwa naye
Umri 30-37yrs,
elimu kuanzia form 6 na kuendelea,
awe mkristo
kabila lolote,
rangi yoyote
ila asiwe mfupi,
Aliyeajiriwa au kajiajiri
Asiwe mlevi
Asiyetumia bangi wala sigara
Am serious mwenye kigezo anakaribishwa pm..
Angalizo: Sipendi dharau ukiona bandiko halikuhusu pita kimya kmya.
Merry chrismass and happy new year..[emoji268]
Toa andiko hicho cheti cha kipaimara kimeandikwa wapi kwenye biblia?Nnachet mpaka cha kipaimara nini cheti cha darasani
Kila la kheri mkuuHabari wanafamilia wa jf
Mwaka unaisha sasa umri wakuwa na familia umefika..nahitaji kuwa na mahusiano yatakayo pelekea ndoa hatimaye familia.
Umri wangu 28yrs
Elimu bachelor's
Mfupi, maji ya kunde
Nimeajiriwa
Mwanaume ninaye wsh kuwa naye
Umri 30-37yrs,
elimu kuanzia form 6 na kuendelea,
awe mkristo
kabila lolote,
rangi yoyote
ila asiwe mfupi,
Aliyeajiriwa au kajiajiri
Asiwe mlevi
Asiyetumia bangi wala sigara
Am serious mwenye kigezo anakaribishwa pm..
Angalizo: Sipendi dharau ukiona bandiko halikuhusu pita kimya kmya.
Merry chrismass and happy new year..[emoji268]