Kila mtu anaishi anavyoweza so don't judge my life coz I will not judge ursHivi katika hali ya kawaida, inakuaje mwanamke anatafuta Mchumba tena kwa mtandao.
Mi najua wanawake ni watu wa kutongozwa, husubiri wanaume waje wawatongoze kisha wao wenyewe kwa utashi wao wachague mwanaume wanayemtaka katika hao.
Habari wanafamilia wa jf
Mwaka unaisha sasa umri wakuwa na familia umefika..nahitaji kuwa na mahusiano yatakayo pelekea ndoa hatimaye familia.
Umri wangu 28yrs
Elimu bachelor's
Mfupi, maji ya kunde
Nimeajiriwa
Mwanaume ninaye wsh kuwa naye
Umri 30-37yrs,
elimu kuanzia form 6 na kuendelea,
awe mkristo
kabila lolote,
rangi yoyote
ila asiwe mfupi,
Aliyeajiriwa au kajiajiri
Asiwe mlevi
Asiyetumia bangi wala sigara
Am serious mwenye kigezo anakaribishwa pm..
Angalizo: Sipendi dharau ukiona bandiko halikuhusu pita kimya kmya.
Merry chrismass and happy new year..[emoji268]
Its better ukupita kimya nilishasema ukiona bandiko halikuhusu upite tuHivi katika hali ya kawaida, inakuaje mwanamke anatafuta Mchumba tena kwa mtandao.
Mi najua wanawake ni watu wa kutongozwa, husubiri wanaume waje wawatongoze kisha wao wenyewe kwa utashi wao wachague mwanaume wanayemtaka katika hao.
Dp[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hiyo kwenye dp
Njoo pmHabari wanafamilia wa jf
Mwaka unaisha sasa umri wakuwa na familia umefika..nahitaji kuwa na mahusiano yatakayo pelekea ndoa hatimaye familia.
Umri wangu 28yrs
Elimu bachelor's
Mfupi, maji ya kunde
Nimeajiriwa
Mwanaume ninaye wsh kuwa naye
Umri 30-37yrs,
elimu kuanzia form 6 na kuendelea,
awe mkristo
kabila lolote,
rangi yoyote
ila asiwe mfupi,
Aliyeajiriwa au kajiajiri
Asiwe mlevi
Asiyetumia bangi wala sigara
Am serious mwenye kigezo anakaribishwa pm..
Angalizo: Sipendi dharau ukiona bandiko halikuhusu pita kimya kmya.
Merry chrismass and happy new year..[emoji268]
Ee mwaya. Ulikuwa ni mtazamo tuFreedom of speech siyo mbaya pia
Ingekuwepo angeiweka maana anajua hiyo chambo ni muhimu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Chura ipo?
Hatutak nyie mizinguoo boraa tubak hit and runHabari wanafamilia wa jf
Mwaka unaisha sasa umri wakuwa na familia umefika..nahitaji kuwa na mahusiano yatakayo pelekea ndoa hatimaye familia.
Umri wangu 28yrs
Elimu bachelor's
Mfupi, maji ya kunde
Nimeajiriwa
Mwanaume ninaye wsh kuwa naye
Umri 30-37yrs,
elimu kuanzia form 6 na kuendelea,
awe mkristo
kabila lolote,
rangi yoyote
ila asiwe mfupi,
Aliyeajiriwa au kajiajiri
Asiwe mlevi
Asiyetumia bangi wala sigara
Am serious mwenye kigezo anakaribishwa pm..
Angalizo: Sipendi dharau ukiona bandiko halikuhusu pita kimya kmya.
Merry chrismass and happy new year..[emoji268]
Wanazingua kweli. Pm ukienda wao hawaji.... kero sana hawa jamaa...Hatutak nyie mizinguoo boraa tubak hit and run
Its better ukupita kimya nilishasema ukiona bandiko halikuhusu upite tu
Bandiko halinihisu kwa kuwa dini uliotaka mie sipo huko.
Vinginevyo badili kipengele cha dini nije PM