Nahitaji mwanaume anayefaa kuwa mume

ME kuwa mfupi siyo ulemavu kumfanya abaguliwe kwenye bandiko.
 
Yaani watu wanapenda kujjita wakristo ili kukwepa ndoa ya uke wenza. Wakati wake wanne kwenye biblia imeruhusiwa. Ukitaka ligi ya maandiko sema nilianzishe.
Brother amekutenga,endelea na mengine.
 
naona vigezo tisa vya mwanaume umtakaye
vp bado hujampata mpaka leo..................
 
Yaani watu wanapenda kujjita wakristo ili kukwepa ndoa ya uke wenza. Wakati wake wanne kwenye biblia imeruhusiwa. Ukitaka ligi ya maandiko sema nilianzishe.
sasa we kinachokuuma nini mkuu, mhusuka anatafuta mwenza, wewe umekazania dini na kuwa mke mwenza,,, kaanzishe uzi wako huko wa wake wanne, wakuna aliyeomba ligi ya maandiko huko ni kuwashwa washwa,,,, mwache binti wa watu anatafuta anachokitaka yeye na kukipenda, kama hapakuhusu au huna vigezo kausha kama wengine tulivyokausha
 
Yaani watu wanapenda kujjita wakristo ili kukwepa ndoa ya uke wenza. Wakati wake wanne kwenye biblia imeruhusiwa. Ukitaka ligi ya maandiko sema nilianzishe.
sasa we kinachokuuma nini mkuu, mhusuka anatafuta mwenza, wewe umekazania dini na kuwa mke mwenza,,, kaanzishe uzi wako huko wa wake wanne, wakuna aliyeomba ligi ya maandiko huko ni kuwashwa washwa,,,, mwache binti wa watu anatafuta anachokitaka yeye na kukipenda, kama hapakuhusu au huna vigezo kausha kama wengine tulivyokausha
 
Mimi
Elimu: darasa la nne
Kazi: mpiga debe
Umri: 30+
Dini: muislamu

Nb: nina nyumba tatu, viwanja viwili, gari moja la biashara na moja la kutembelea, salon ya wanawake, duka la nguo,

VP NAFAA KUWA WAKO
Kikikikiki hahahahahah
 
Fact
 
Kimya kimya naamini nimeelewa somo
 
Mungu Yesu??????
 
femaleagle, ulianza vizuri, ila kwenye vigezo umechemka! kuna watu hawanaga hiyo form6 na wanapiga mshahara wa raisi kwa wiki! nadhani naweza kuwa miongoni mwao japo nimebukua chuo honors!
 
vp utanikubalia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…