Nahitaji mwanaume anayefaa kuwa mume

Nahitaji mwanaume anayefaa kuwa mume

Ufupi wako wa nchi ngapi! Isije kua mbilikimo!
NB: Nategemea kuoa 2020 ntakua na 35+.
 
Tu
Habari wanafamilia wa jf
Mwaka unaisha sasa umri wakuwa na familia umefika..nahitaji kuwa na mahusiano yatakayo pelekea ndoa hatimaye familia.
Umri wangu 28yrs
Elimu bachelor's
Mfupi, maji ya kunde
Nimeajiriwa

Mwanaume ninaye wsh kuwa naye
Umri 30-37yrs,
elimu kuanzia form 6 na kuendelea,
awe mkristo
kabila lolote,
rangi yoyote
ila asiwe mfupi,
Aliyeajiriwa au kajiajiri
Asiwe mlevi
Asiyetumia bangi wala sigara

Am serious mwenye kigezo anakaribishwa pm..

Angalizo: Sipendi dharau ukiona bandiko halikuhusu pita kimya kmya.

Merry chrismass and happy new year..[emoji268]
tupiamo tupicha, eleza kama wewe au familia yako haina magonjwa na kuridhi kama vile kifafa, kisukari, sickle cells, saratani, albinism. Pia eleza kuhusu blood group lako na kabila lako pia.
 
Habari wanafamilia wa jf
Mwaka unaisha sasa umri wakuwa na familia umefika..nahitaji kuwa na mahusiano yatakayo pelekea ndoa hatimaye familia.
Umri wangu 28yrs
Elimu bachelor's
Mfupi, maji ya kunde
Nimeajiriwa

Mwanaume ninaye wsh kuwa naye
Umri 30-37yrs,
elimu kuanzia form 6 na kuendelea,
awe mkristo
kabila lolote,
rangi yoyote
ila asiwe mfupi,
Aliyeajiriwa au kajiajiri
Asiwe mlevi
Asiyetumia bangi wala sigara

Am serious mwenye kigezo anakaribishwa pm..

Angalizo: Sipendi dharau ukiona bandiko halikuhusu pita kimya kmya.

Merry chrismass and happy new year..[emoji268]
Pole sana utampata ila utasubili kiasi [emoji174] [emoji174] [emoji174] [emoji174]
 
Siyo choice vipi wakati wewe mwenyewe ni mfupi?
Yuko sahihi kutafuta mrefu kidogo ili watoto wasibaki kuwa wafupi wote. Hata hivyo kama wewe ni mfupi sana chini 150cm usipendelee warefu sana au watu wenye miili mikubwa kama wasukuma, wanyakyusa kuepuka kuzaa kwa operations
 
Habari wanafamilia wa jf
Mwaka unaisha sasa umri wakuwa na familia umefika..nahitaji kuwa na mahusiano yatakayo pelekea ndoa hatimaye familia.
Umri wangu 28yrs
Elimu bachelor's
Mfupi, maji ya kunde
Nimeajiriwa

Mwanaume ninaye wsh kuwa naye
Umri 30-37yrs,
elimu kuanzia form 6 na kuendelea,
awe mkristo
kabila lolote,
rangi yoyote
ila asiwe mfupi,
Aliyeajiriwa au kajiajiri
Asiwe mlevi
Asiyetumia bangi wala sigara

Am serious mwenye kigezo anakaribishwa pm..

Angalizo: Sipendi dharau ukiona bandiko halikuhusu pita kimya kmya.

Merry chrismass and happy new year..[emoji268]
Kama upo tayari miaka 40 ni check
 
Njoo pm mrembo. Sina maneno mengi nataka mke.
 
Nenda huku :tanzaniandating@gmail.com upate mume fasta ila uwe serious
 
Acha matusi wewe. Ukitaka kujifunza lazima uwe mvumilivu....
Kwani hujui mambo yote machafu yamo kwenye biblia? Huna habari? Kwa taarifa mchawi wa kwanza duniani alikuwa mkristo....ugaidi mkubwa kuwahi kupata kutokea umefanywa na mkristo.....
Mtu aliyeoa wanawake wengi kuliko binadamu wote ametajwa kwenye biblia....
Nabii muuaji kuliko wote duniani ametajwa kwenye biblia na leo hii watu wanamtukuza sana....
Malaya na wazinzi wote ni waktisto....
Maandiko yako wazi......
Sasa nakushangaa andiko la wake wanne linakupanikisha mpaka unamwaga mitusi...
Hayo mauchafu mwngine yaliyofanywa na wakristo huyaoni kwenye biblia? Huwa unaisomaje?
We vipi? Soma maandiko acha hasira...

Ww kweli ni mpumbavu haswa hao dada zenu waliojitanda maushungi umalaya wanaoufanya hapo mjini hauoni?...malaya wao mabata wao
 
Me nahitaji mke nina miaka 44 navuta sigara Halafu napenda kushiriki tendo la ndoa kila baada ya masaa 6. Utaniweza [emoji23] [emoji1]
Mmh kuelekea mwisho wa mwaka tutasikia mengi sana aisee imebidi nicheke tu
 
Habari wanafamilia wa jf
Mwaka unaisha sasa umri wakuwa na familia umefika..nahitaji kuwa na mahusiano yatakayo pelekea ndoa hatimaye familia.
Umri wangu 28yrs
Elimu bachelor's
Mfupi, maji ya kunde
Nimeajiriwa

Mwanaume ninaye wsh kuwa naye
Umri 30-37yrs,
elimu kuanzia form 6 na kuendelea,
awe mkristo
kabila lolote,
rangi yoyote
ila asiwe mfupi,
Aliyeajiriwa au kajiajiri
Asiwe mlevi
Asiyetumia bangi wala sigara

Am serious mwenye kigezo anakaribishwa pm..

Angalizo: Sipendi dharau ukiona bandiko halikuhusu pita kimya kmya.

Merry chrismass and happy new year..[emoji268]
Mungu atakusaidia utampata umpendae
 
Back
Top Bottom