Nahitaji mwanaume atakayekuwa mume wangu

Sikujua kama hili na kuoa na kuolewa ni janga kiasi hiki..

Mungu akusaidieni nyote
 
rejea uzi wangu natafuta mke sina masharti yoyote!
Dah... Mimi hapo ndiyo nashangaa... Kabla hujatangaza kuuza Tafuta kwanza aliyetangaza kununua inakuwa simpo sana....labda uwe unauza kwa zabuni[emoji12] [emoji12]
 
Samahani,Mimi niko Mwanza.Nimekuuliza nitakupataje?.Ukanijibu Ni ku pm tuongee.Pm unamaanisha nini?.Nisaidie maana ya pm Ili nikutafute tuongee
 
Samahani,Mimi niko Mwanza.Nimekuuliza nitakupataje?.Ukanijibu Ni ku pm tuongee.Pm unamaanisha nini?.Nisaidie maana ya pm Ili nikutafute tuongee
private messsage
Dah... Mimi hapo ndiyo nashangaa... Kabla hujatangaza kuuza Tafuta kwanza aliyetangaza kununua inakuwa simpo sana....labda uwe unauza kwa zabuni[emoji12] [emoji12]
 
Ok poa poa.Pm nimeelewa maana yake.Ili kuwasiliana kwa pm Si inabidi unipatie simu yako au email address yako?
 
mbona hujaspecify mrefu kiasi aje unajua neno kiasi watu tunalipokea tofauti
chocolate ndio ile wanaitaga maji ya kunde au?? maana si waTZ hatuna majina ya rangi kabisa
[emoji124] [emoji124]
 
Nitawasilianaje Na wewe kwa kutumia pm?.Niko mwanza
 
Umesema Mkristo

Wakiristo wako wengi, specify please ili nione kama naweza kuja pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…