- Thread starter
- #21
n pm tuyamalizeAsante ila bado hujajibu swali langu![emoji30]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
n pm tuyamalizeAsante ila bado hujajibu swali langu![emoji30]
Aseee nilitamani kuongea na wewe kwa kina, angalau nijiridhishe, huenda ukawa sehemu ya suluhisho lanfu katika ulimwengu huuok sawa
mmmmh!!.........mimi pm huwa naiogopa sana![emoji30]n pm tuyamalize
Dah... Mimi hapo ndiyo nashangaa... Kabla hujatangaza kuuza Tafuta kwanza aliyetangaza kununua inakuwa simpo sana....labda uwe unauza kwa zabuni[emoji12] [emoji12]rejea uzi wangu natafuta mke sina masharti yoyote!
private messsageSamahani,Mimi niko Mwanza.Nimekuuliza nitakupataje?.Ukanijibu Ni ku pm tuongee.Pm unamaanisha nini?.Nisaidie maana ya pm Ili nikutafute tuongee
Dah... Mimi hapo ndiyo nashangaa... Kabla hujatangaza kuuza Tafuta kwanza aliyetangaza kununua inakuwa simpo sana....labda uwe unauza kwa zabuni[emoji12] [emoji12]
Nitawasilianaje Na wewe kwa kutumia pm?.Niko mwanzamimi n mwanamke wa miaka 29 nmeamua kuja jukwaani kutoa hitaji langu la moyo,kwa yeyote mwenye mapenzi ya dhati karibu sana.nipo mkoa wa mwanza,nngefurahi kama nngepata mt wa mwanza,mimi n mrefu kiasi,choklet,mkristo na n mwajiriwa serikalin,ni PM tuzngumze kama haupo na lengo jitahidi kupita tu ,asanteni
Wanavyosema wao eti wanaogopa kuharibu reputation wakitumia ID zao za siku zote.Naona karibu wote wanaotafuta waume humu ni new member, sijui kama wanajisajili kwa ajili ya kusaka bakora !!
aminaAkika mungu atakutimizia hitaji lako
sawaNitawasilianaje Na wewe kwa kutumia pm?.Niko mwanza