Nahitaji mwanaume hanithi

Nahitaji mwanaume hanithi

Status
Not open for further replies.
Nimejitahidi sana nisikutukane, kabla ujafa haujaumbika. Unanidhiaki na kunidharau kwani haya matatizo niliyataka mimi? Nimpango wa Mungu mtu kuwa jinsi alivyo au atakavyo kuwa baadae. Ninakuombea upate ulemavu mkubwa mzito sana halafu watu wakudhihaki na kukudharau kama unavyonifanyia mimi mpaka siku unakwenda kaburini na unayotaka kuwafanyia wengine ufanyiwe wewe. Haya maneno yaifadhi kwa kumbukumbu ya baadae.
Yaani wewe ndio umekurupuka kuanza kunilaani. Hii post ni kwa mleta mada wewe unadandia treni kwa mbele. Siwezi kusema nimuoe mwanaume mwenzangu sababu dini na kabila langu kumwingilia mwanaume mwenzako ni laana. Leta post nilioku-qoute kukukashifu au kukwambia mamneno ya kejeli. Hio uliyoi-qoute haikuhusu labda kama una stress zako unadhani nimekwambia wewe.

Asante kwa dua baya ila halitonifika kwa kuwa ww sio mlengwa.
 
Yaani wewe ndio umekurupuka kuanza kunilaani. Hii post ni kwa mleta mada wewe unadandia treni kwa mbele. Siwezi kusema nimuoe mwanaume mwenzangu sababu dini na kabila langu kumwingilia mwanaume mwenzako ni laana. Leta post nilioku-qoute kukukashifu au kukwambia mamneno ya kejeli. Hio uliyoi-qoute haikuhusu labda kama una stress zako unadhani nimekwambia wewe.

Asante kwa dua baya ila halitonifika kwa kuwa ww sio mlengwa.
Samahani sana mkuu, sikuwa nimeelewa vizuri post yako, sasa nimekuelewa na kweli nilikurupuka kujibu bila kupata uelewa wa kina, Mungu akuepushe na mabaya niliyotamka maana nimeyabatilisha kwa kinywa changu, samahani kwa mara nyingine tena.
 
Samahani sana mkuu, sikuwa nimeelewa vizuri post yako, sasa nimekuelewa na kweli nilikurupuka kujibu bila kupata uelewa wa kina, Mungu akuepushe na mabaya niliyotamka maana nimeyabatilisha kwa kinywa changu, samahani kwa mara nyingine tena.
Ok shukran mkuu kwa kunielewa. Tupo.pamoja
 
Nimegundua sipendelei na wala siinjoy sex... Nahitaji mwanaume tutakaependana na kupeana emotional support bila kuhusisha sex.
Huyo mwanaume alikufa latika miaka ya 1811. Basically wanaume wengi ni functional, na kama ni hanisi wengi hujificha..
 
Nimejitahidi sana nisikutukane, kabla ujafa haujaumbika. Unanidhiaki na kunidharau kwani haya matatizo niliyataka mimi? Nimpango wa Mungu mtu kuwa jinsi alivyo au atakavyo kuwa baadae. Ninakuombea upate ulemavu mkubwa mzito sana halafu watu wakudhihaki na kukudharau kama unavyonifanyia mimi mpaka siku unakwenda kaburini na unayotaka kuwafanyia wengine ufanyiwe wewe. Haya maneno yaifadhi kwa kumbukumbu ya baadae.
Panua moyo usimulaani mtu, hapa kuna kila aina ya binadamu wema na waovu, walemavu na wasiowalemavu, msamehe tu, hiyo ni inshu ndogo saana ukiamini unapona kabisa, kumbuka Mungu alisema; "Wala hatakuwepo tasa katika Israel" Kutoka23:26
Ukiyaamini hayo maneno ya kinywa cha Mungu halafu ukaanza kumdai na kumuuliza kwa nini uwe wewe,
Ni mwaminifu sana Mungu kwenye kauli zake!
 
Nimegundua sipendelei na wala siinjoy sex... Nahitaji mwanaume tutakaependana na kupeana emotional support bila kuhusisha sex.
Nawe ulikuwa moja ya wale wamama wa Dar ambao alikuwa anakuja yule mzee wa Dom kuwauzia "migegedo" ya mbao?
Hapo lazima ukose hisia za mapenzi na mwanaume maana ulishazoea "kujikojoza" mwenyewe kwa kutumia boro la kuchonga.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom