Nahitaji mwanaume mwenye mapenzi ya dhati


Hapo sasa manake inasemakana kuwa "Mtalaka huwa hatongozwi " yani Watu ambao walikuwa wapenzi hapo nyuma wakikutana hawaanzi kuimbishana Na kubembelezana badala hurekebisha mambo fasta!
 
We una akili kweli umeshazalishwa uko aliekuzalisha kwann hajakuoa unaonekana ww una matatizo halafu mwanaume gani ana huo umri hana mchumba au mke yani ukiona umefikisha miaka 25 hujaelewa ujue ndo bac tena we utakuwa wa kupigwa miti na kuachwa
Mbona wewe unazaidi ya 30+ na huna maisha yakueleweka
 
Haya maneno yako makali sana hayana hekima.
Tumia busara kidogo.
Na wanaume mnaotukana hivi ndio mnaowapa wanawake mimba na kupotea.
Huyo wala asikupe shida. Namjua fika Ngoja nikutafutie picha yake Facebook, hutashangaa kujibu hivyo
 
Unatafuta mume humu JF wakati mtaani kwenu ulipata mwanaume akakupa mimba ww ukaitoa labda kama umeacha tabia ya kutoa mimba utapata mume ila kama hujaacha ndoa utaisikia tu kwa wenzako wanaojua kulea mimba
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Nishakupata. Karibu tuyajenge
 
weka pcha acha maneno hv kwann mnapenda kuuza mbuzi guniani[emoji32][emoji32][emoji32]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…