Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

Status
Not open for further replies.
Nikapime hospitali kisa kumridhisha lesbo? Halafu mtoto nisimuone. Hivi kumbe haya ma LGBT hayanaga akili timamu. Kwendra huko....
Kuwa lesbo tu ni ukichaa wenyewe huo.
 
Huyo daktari ni kichaa
Hakuna mwanaume mwenye akili timamu atakubali kumzalisha mwanamke mtoto then mtoto abaki kuwa wa mwanamke. Iwe kwa malipo ya pesa, uchi , gari au nyumba
 
Ngoja dude likuingie utatulia mwenyewe jamaa anakuvizia kwa mbele hutachomoka tena ulete mrejesho apa

Ila mchunguze nayeye anaweza kua shogaflesh kwa sifa ulizo toa nimewaza tu.
Jali maisha yako ya walimwengu hutoyaweza
 
Sasa unatafuta mtoto ili iwaje?! Unataka mtoto aje kuwa depressed na kujutia kuzaliwa na kuja duniani sababu mtu selfish uliamua kumleta kwa sababu zako.
 
Kampeni ya kataa ndoa sasa imeanza kurudisha mpira kwa kipa
 
Sasa unatafuta mtoto ili iwaje?! Unataka mtoto aje kuwa depressed na kujutia kuzaliwa na kuja duniani sababu mtu selfish uliamua kumleta kwa sababu zako.

Halafu kashajinadi kuwa yeye ni LGBT ,ni upinde ila bado kapewa promo na uzi umepandishwa kesho litakuja shoga na hoja yake kama mfanano na hii…..haya mambo tukiyachukulia poa poa yanapenya kidogo kidogo nchini.
 
Sasa unatafuta mtoto ili iwaje?! Unataka mtoto aje kuwa depressed na kujutia kuzaliwa na kuja duniani sababu mtu selfish uliamua kumleta kwa sababu zako.
Ila wewe Zamda una tatizo la Afya ya akili, jitafakari na uchukue hatua mara moja.
 
Halafu kashajinadi kuwa yeye ni LGBT ,ni upinde ila bado kapewa promo na uzi umepandishwa kesho litakuja shoga na hoja yake kama mfanano na hii…..haya mambo tukiyachukulia poa poa yanapenya kidogo kidogo nchini.
Mambo gani yanayopenya kidogo kidogo?
Sio nyie hua mna refer kutoka vitabu vya dini?
Kama yalikuwepo tangu enzi hizo na yakazungumziwa iweje ushangae sasa hivi.
 
Ishi maisha uliyoamua kuishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo gani yanayopenya kidogo kidogo?
Sio nyie hua mna refer kutoka vitabu vya dini?
Kama yalikuwepo tangu enzi hizo na yakazungumziwa iweje ushangae sasa hivi.

Dini gani na imetaja nini? Sina ufaham nazo.
Sio hoja ya kidini wala hizo human rights mnazojitetea nazo, nazingatia nature ya viumbe hai. Anyway kuweni na amani endeleeni na mambo yenu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…