Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

Status
Not open for further replies.
Dini gani na imetaja nini? Sina ufaham nazo.
Sio hoja ya kidini wala hizo human rights mnazojitetea nazo, nazingatia nature ya viumbe hai. Anyway kuweni na amani endeleeni na mambo yenu.
Unajua maana ya nature na nature ya viumbe hai lakini au unaunga unga vimaneno ili mradi tu na wewe uandike
 
Hahaa eti hana mandevu ndevu hanuki mdomo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wabiga nyeto hii fursa kwenu... kuliko kutupa mbegu kwenye mashuka, boxer na bafuni nendeni mkajaribu bahati ya utelezi buree...
 
Umesema wewe ni lesbian au basi tu.
Ukoo wetu hauna mwanasheria
 
Kuna mtu anatakiwa kuuziwa mbuzi kwenye gunia [emoji85] lkn huko mbele huko kuna shida naiyona. hzo missions zpo Sana Ila shida inakuja damu ni nzito kuliko Maji. Ana dai ameshapata huyo mtu na anasifa zote lkn anaogopa jamaa acje akapenda mazima! Swali linakuja kwa huyo mtt atakuwa mali ya nan kama jamaa hatausika na gharama za malezi, na mama mtt hatak jamaa ampende? "Nina wasi waasi, Nina wasi waasi ukicheka yakuchekea hayo mapenzi ya kioo [emoji397]
 
Mambo Ni Moto Moto Kama Ulaya Yaani
Uendelee Kuleta Mrejesho Hivyo Hivyo Ikiingia, Ikitoka
TUMETOKA KULE WANASEMA "Hapa Kazi Tu "
TUPO HAPA SASA HIVI "Kazi Iendelee "
 
Atapigwa Atachakaa Kipigo Ni Cha Mbwa Ko Ko
 
hongera
 
Hahaha furaha imepitiliza utadhani kapata mme wa kumuoa kumbe kumwaga mbengu tu
 

 
Wenye madevu tunanyanyasika🤣🤣🤣🤣🤣😂 Sasa mariposa mwanaume aliyekamilika atakosa ndevu🤣🤣🤣
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…