Nahitaji mwanaume wa kuzaa nae

Nahitaji mwanaume wa kuzaa nae

Status
Not open for further replies.
Nahitaji mwanaume wa kunitimizia hili.na pia awe na shida na kama hii pia yaani Nawe anahitaji mtoto.

I have been so lonely,naamini mtoto atakua faraja yangu. Na kunisaidia kuishi Maisha yenye kusudi,na pia atanipa Ari na moral ya kujitafuta zaidi

Kwa upande wangu unaweza kujiuliza Sina mwenza? Ni kweli Sina,sijabahatika kupata mwenza mwenye utu,uelewa na.changamoto ni nyingi sana.siwezi kuelezea zote.

Kwa upande wangu Nina tatizo katika mfumo wangu wa nerve,nimekuwa na disability.mojawapo imenipata ukubwani.so mahusiano na mapenzi,sijui dates mi siwezi,nimezoea kuishi bila mwanaume.

Angalau niwe na mtoto nayo itanisaidia kuleta umaana kwenye Maisha,atakuwa kampani na rafiki kwangu,ndugu pia msaada In the future.

Kwa ufupi nahitaji mtu mwenye nia ya dhati,nae awe na uhitaji huo.
Awe anajishughulisha kujiingiza kipato Kwa shughuli halali
Awe mru mzima anaejielewa na kujua wajibu wake kama baba
Sihitaji mapenzi yako.mapenzi yako yaweke Kwa mtoto
Pesa zako wekeza katika kumtunza mtoto

Mimi Sina kipato,najitafuta na nnachopata ni kidogo.
-naomba malezi ya mtoto yabase kote kwenye pande zote mbili.muda,kujali,nk
- hata ukiingia kwenye mahusiano au ndoa haina tatizo usimsahau mwanao.

Mengine mengi tutajuzana na muhusika

Niko tayari kurekebishwa na kukosolewa kuhusu mawazo yangu.
Otikiii 😬 Ehh Leo ndo Leo kivumbi Leo
 
Nahitaji mwanaume wa kunitimizia hili na pia awe na shida na kama hii pia yaani naye anahitaji mtoto.

I have been so lonely, naamini mtoto atakuwa faraja yangu. Na kunisaidia kuishi maisha yenye kusudi, na pia atanipa Ari na moral ya kujitafuta zaidi.

Kwa upande wangu unaweza kujiuliza Sina mwenza? Ni kweli Sina, sijabahatika kupata mwenza mwenye utu, uelewa na changamoto ni nyingi sana. Siwezi kuelezea zote.

Kwa upande wangu Nina tatizo katika mfumo wangu wa nerve, nimekuwa na disability. Mojawapo imenipata ukubwani so mahusiano na mapenzi, sijui dates mi siwezi, nimezoea kuishi bila mwanaume.

Angalau niwe na mtoto nayo itanisaidia kuleta umaana kwenye Maisha, atakuwa kampani na rafiki kwangu, ndugu pia msaada In the future.

Kwa ufupi nahitaji mtu mwenye nia ya dhati, nae awe na uhitaji huo.
Awe anajishughulisha kujiingiza kipato Kwa shughuli halali
Awe mtu mzima anaejielewa na kujua wajibu wake kama baba
Sihitaji mapenzi yako, mapenzi yako yaweke Kwa mtoto
Pesa zako wekeza katika kumtunza mtoto

Mimi Sina kipato, najitafuta na nnachopata ni kidogo.
-Naomba malezi ya mtoto yabase kote kwenye pande zote mbili, muda, kujali,nk
- Hata ukiingia kwenye mahusiano au ndoa haina tatizo usimsahau mwanao.

Mengine mengi tutajuzana na muhusika

Niko tayari kurekebishwa na kukosolewa kuhusu mawazo yangu.
Karibu pm
 
Nahitaji mwanaume wa kunitimizia hili na pia awe na shida na kama hii pia yaani naye anahitaji mtoto.

I have been so lonely, naamini mtoto atakuwa faraja yangu. Na kunisaidia kuishi maisha yenye kusudi, na pia atanipa Ari na moral ya kujitafuta zaidi.

Kwa upande wangu unaweza kujiuliza Sina mwenza? Ni kweli Sina, sijabahatika kupata mwenza mwenye utu, uelewa na changamoto ni nyingi sana. Siwezi kuelezea zote.

Kwa upande wangu Nina tatizo katika mfumo wangu wa nerve, nimekuwa na disability. Mojawapo imenipata ukubwani so mahusiano na mapenzi, sijui dates mi siwezi, nimezoea kuishi bila mwanaume.

Angalau niwe na mtoto nayo itanisaidia kuleta umaana kwenye Maisha, atakuwa kampani na rafiki kwangu, ndugu pia msaada In the future.

Kwa ufupi nahitaji mtu mwenye nia ya dhati, nae awe na uhitaji huo.
Awe anajishughulisha kujiingiza kipato Kwa shughuli halali
Awe mtu mzima anaejielewa na kujua wajibu wake kama baba
Sihitaji mapenzi yako, mapenzi yako yaweke Kwa mtoto
Pesa zako wekeza katika kumtunza mtoto

Mimi Sina kipato, najitafuta na nnachopata ni kidogo.
-Naomba malezi ya mtoto yabase kote kwenye pande zote mbili, muda, kujali,nk
- Hata ukiingia kwenye mahusiano au ndoa haina tatizo usimsahau mwanao.

Mengine mengi tutajuzana na muhusika

Niko tayari kurekebishwa na kukosolewa kuhusu mawazo yangu.
Je huna kipato kutokana na tatizo la afya yako?
 
Nahitaji mwanaume wa kunitimizia hili na pia awe na shida na kama hii pia yaani naye anahitaji mtoto.

I have been so lonely, naamini mtoto atakuwa faraja yangu. Na kunisaidia kuishi maisha yenye kusudi, na pia atanipa Ari na moral ya kujitafuta zaidi.

Kwa upande wangu unaweza kujiuliza Sina mwenza? Ni kweli Sina, sijabahatika kupata mwenza mwenye utu, uelewa na changamoto ni nyingi sana. Siwezi kuelezea zote.

Kwa upande wangu Nina tatizo katika mfumo wangu wa nerve, nimekuwa na disability. Mojawapo imenipata ukubwani so mahusiano na mapenzi, sijui dates mi siwezi, nimezoea kuishi bila mwanaume.

Angalau niwe na mtoto nayo itanisaidia kuleta umaana kwenye Maisha, atakuwa kampani na rafiki kwangu, ndugu pia msaada In the future.

Kwa ufupi nahitaji mtu mwenye nia ya dhati, nae awe na uhitaji huo.
Awe anajishughulisha kujiingiza kipato Kwa shughuli halali
Awe mtu mzima anaejielewa na kujua wajibu wake kama baba
Sihitaji mapenzi yako, mapenzi yako yaweke Kwa mtoto
Pesa zako wekeza katika kumtunza mtoto

Mimi Sina kipato, najitafuta na nnachopata ni kidogo.
-Naomba malezi ya mtoto yabase kote kwenye pande zote mbili, muda, kujali,nk
- Hata ukiingia kwenye mahusiano au ndoa haina tatizo usimsahau mwanao.

Mengine mengi tutajuzana na muhusika

Niko tayari kurekebishwa na kukosolewa kuhusu mawazo yangu.
Karibu pm
 
Wewe itakuwa unaongelea vijana ambao ni jobless wa kizazi hiki ila hao pia sio wengi. Wanaume ambacho hawataki ni fling kuleta mtoto. Kama unataka mahusiano ya kuleta mtoto niweke wazi kabisa maana hatuwezi kuzaa zaa na kila mtu.
Unavuna unachokipanda.
Unat*mba mwanamke na kummwagia manii unategemea azae papai!?
Hekima ni kuwajibika kwa matendo ya mikono yako mwenyewe.
Kama hautaki tuliza kiborodinda hicho.
 
Sibagui wala sichagui mkuu..
Ng'ombe hazeeki maini mkuu
😂😂😂😂
Mkuu hawa watoto ndo wanaotufaa katika umri huu
🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️Aiseee babu hufai wewe utaja fia kifuani kwa mbichi.
 
🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️Aiseee babu hufai wewe utaja fia kifuani kwa mbichi.
Hapa nimechukua na pipi kifua kwa ajili ya haka katoto ka 2000
 
Sijui kwa nini nahisi unahitaji kumuona msaikolojia. Mkuu mtoto ni zao la upendo na si vinginevyo.

Eneweiz M/Mungu akufanyie wepesi katika hili uweze kupita na kushinda katika namna iliyo bora zaidi.
 
LENGO lako ni lipi kuuliza hivi?
Sina nia mbaya na wala sijauliza kwa ubaya.
Kwa maelezo yako na kwa nilivyoyaelewa ni kwamba hilo tatizo lako la nerve ndio limekukata kihisia ya mahusiano.
Hivyo nikaona ni busara nijue kama utaridhia huwenda likawa na ufumbuzi.
 
Mimi nadhani hauhitaji mtoto, kuna kitu cha muhimu zaidi unahitaji.
 
Nahitaji mwanaume wa kunitimizia hili na pia awe na shida na kama hii pia yaani naye anahitaji mtoto.

I have been so lonely, naamini mtoto atakuwa faraja yangu. Na kunisaidia kuishi maisha yenye kusudi, na pia atanipa Ari na moral ya kujitafuta zaidi.

Kwa upande wangu unaweza kujiuliza Sina mwenza? Ni kweli Sina, sijabahatika kupata mwenza mwenye utu, uelewa na changamoto ni nyingi sana. Siwezi kuelezea zote.

Kwa upande wangu Nina tatizo katika mfumo wangu wa nerve, nimekuwa na disability. Mojawapo imenipata ukubwani so mahusiano na mapenzi, sijui dates mi siwezi, nimezoea kuishi bila mwanaume.

Angalau niwe na mtoto nayo itanisaidia kuleta umaana kwenye Maisha, atakuwa kampani na rafiki kwangu, ndugu pia msaada In the future.

Kwa ufupi nahitaji mtu mwenye nia ya dhati, nae awe na uhitaji huo.
Awe anajishughulisha kujiingiza kipato Kwa shughuli halali
Awe mtu mzima anaejielewa na kujua wajibu wake kama baba
Sihitaji mapenzi yako, mapenzi yako yaweke Kwa mtoto
Pesa zako wekeza katika kumtunza mtoto

Mimi Sina kipato, najitafuta na nnachopata ni kidogo.
-Naomba malezi ya mtoto yabase kote kwenye pande zote mbili, muda, kujali,nk
- Hata ukiingia kwenye mahusiano au ndoa haina tatizo usimsahau mwanao.

Mengine mengi tutajuzana na muhusika

Niko tayari kurekebishwa na kukosolewa kuhusu mawazo yangu.
Huwezi kumtumia mtoto au kutaka kuzaa sababu ya furaha Yako binafsi. Ni kudharau uumbaji na ubinafsi. Selfish.
 
Mimi Sina kipato, najitafuta na nnachopata ni kidogo.
-Naomba malezi ya mtoto yabase kote kwenye pande zote mbili, muda, kujali,nk
- Hata ukiingia kwenye mahusiano au ndoa haina tatizo usimsahau mwanao.
HAPA umekorogakoroga Mwandiko wa kidakitari Ila kule juu umeeleweka kwa namna fulani

Swali ni je huo ugonjwa wa nerves HAUWEZI ukahamia kwa Mtoto alafu mlengwa akaingia gharama zingine za hospital, kumbuka kulea Mimba Si kazi kazi kulea Mtoto Mtoto akiwa na faults zozote mtu lazima aingie gharama kugharamia Uhai wake ili asife
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom