Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Kichwa chako wewe kina shida πππHahahaha πππππππππππππ
Nilipoa mweeeh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichwa chako wewe kina shida πππHahahaha πππππππππππππ
Nenda kwa mtoa mada mi atanipasia yeye..Njoo mpenzi!
shda gani io πππKichwa chako wewe kina shida πππ
Nilipoa mweeeh
Ya kusahaushda gani io πππ
sindano za mgongo iz chanzoππYa kusahau
Kwanini walichoma za mgongo....sindano za mgongo iz chanzoππ
Asante Kwa maoniUmeemuliza kwanza huyo mtoto unaetaka kumleta anataka nini? au unataka na mtoto nae aje na uzi wake hapo baadae!!
m mwenyewe nawashangaaππKwanini walichoma za mgongo....
πππ
Shwaaa shwaaa dadek zake
Pole kwa changamoto unazopitia.Nahitaji mwanaume wa kunitimizia hili.na pia awe na shida na kama hii pia yaani Nawe anahitaji mtoto.
I have been so lonely,naamini mtoto atakua faraja yangu. Na kunisaidia kuishi Maisha yenye kusudi,na pia atanipa Ari na moral ya kujitafuta zaidi
Kwa upande wangu unaweza kujiuliza Sina mwenza? Ni kweli Sina,sijabahatika kupata mwenza mwenye utu,uelewa na.changamoto ni nyingi sana.siwezi kuelezea zote.
Kwa upande wangu Nina tatizo katika mfumo wangu wa nerve,nimekuwa na disability.mojawapo imenipata ukubwani.so mahusiano na mapenzi,sijui dates mi siwezi,nimezoea kuishi bila mwanaume.
Angalau niwe na mtoto nayo itanisaidia kuleta umaana kwenye Maisha,atakuwa kampani na rafiki kwangu,ndugu pia msaada In the future.
Kwa ufupi nahitaji mtu mwenye nia ya dhati,nae awe na uhitaji huo.
Awe anajishughulisha kujiingiza kipato Kwa shughuli halali
Awe mru mzima anaejielewa na kujua wajibu wake kama baba
Sihitaji mapenzi yako.mapenzi yako yaweke Kwa mtoto
Pesa zako wekeza katika kumtunza mtoto
Mimi Sina kipato,najitafuta na nnachopata ni kidogo.
-naomba malezi ya mtoto yabase kote kwenye pande zote mbili.muda,kujali,nk
- hata ukiingia kwenye mahusiano au ndoa haina tatizo usimsahau mwanao.
Mengine mengi tutajuzana na muhusika
Niko tayari kurekebishwa na kukosolewa kuhusu mawazo yangu.
ππππ Pole sana....m mwenyewe nawashangaaππ
siwezi acha hakikaπππππππππ Pole sana....
Sasa hapo usijichanganye tena be care sheeenzi kabisa....
πππ Jikute ushazoea....siwezi acha hakikaπππππ
Kwa hiyo mmeamua mbebishane humu kwenye uzi wa mama watoto wangu mtarajiwa sio?Totoo wa 2000 apana aseeee noooooππππππΎππΎππΎ
ππππππππππππππππππππππ,,, daah naomba niende mapumziko ntarud second half ππππππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈπππ Jikute ushazoea....
Sasa now jua katika wale wa sindano mmoja nitakua mimi na barakoa yangu safi kabisa ,πππ
Nicheki inbox ,umepata mme tayariNahitaji mwanaume wa kunitimizia hili.na pia awe na shida na kama hii pia yaani Nawe anahitaji mtoto.
I have been so lonely,naamini mtoto atakua faraja yangu. Na kunisaidia kuishi Maisha yenye kusudi,na pia atanipa Ari na moral ya kujitafuta zaidi
Kwa upande wangu unaweza kujiuliza Sina mwenza? Ni kweli Sina,sijabahatika kupata mwenza mwenye utu,uelewa na.changamoto ni nyingi sana.siwezi kuelezea zote.
Kwa upande wangu Nina tatizo katika mfumo wangu wa nerve,nimekuwa na disability.mojawapo imenipata ukubwani.so mahusiano na mapenzi,sijui dates mi siwezi,nimezoea kuishi bila mwanaume.
Angalau niwe na mtoto nayo itanisaidia kuleta umaana kwenye Maisha,atakuwa kampani na rafiki kwangu,ndugu pia msaada In the future.
Kwa ufupi nahitaji mtu mwenye nia ya dhati,nae awe na uhitaji huo.
Awe anajishughulisha kujiingiza kipato Kwa shughuli halali
Awe mru mzima anaejielewa na kujua wajibu wake kama baba
Sihitaji mapenzi yako.mapenzi yako yaweke Kwa mtoto
Pesa zako wekeza katika kumtunza mtoto
Mimi Sina kipato,najitafuta na nnachopata ni kidogo.
-naomba malezi ya mtoto yabase kote kwenye pande zote mbili.muda,kujali,nk
- hata ukiingia kwenye mahusiano au ndoa haina tatizo usimsahau mwanao.
Mengine mengi tutajuzana na muhusika
Niko tayari kurekebishwa na kukosolewa kuhusu mawazo yangu.
kam ivo ndo hua unabibishwa aseeee unasafari ndefu ππΎππΎππΎππKwa hiyo mmeamua mbebishane humu kwenye uzi wa mama watoto wangu mtarajiwa sio?
Sawa sawa...ππππππππππππππππππππππ,,, daah naomba niende mapumziko ntarud second half ππππππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈ