Nahitaji mwanaume wa kuzaa nae

Nahitaji mwanaume wa kuzaa nae

Status
Not open for further replies.
Jina lako ni tofauti na Akili uliyoiwakilisha hapa

Abigaili alikua ni Mwanamke mwelevu (mwenye akili njema), mcha MUNGU (mwenye hofu ya MUNGU), na mkamilifu (mtakatifu)

Kiasili MWANAMKE hajaumbwa kutafuta MTOTO au mume, MWANAMKE ameubwa kutafutwa na mme au kupewa MTOTO na mme wake

Kama ni jokes ni SAWA but if your seriously basi una matatizo makubwa Sana 😁
 
Kama ni kweli, Sister Abigail ,sioni kama huu ndo mda sahihi wa kutafuta mtoto. Inaoneka wewe una tatizo,ambalo ndo kwanza linatakiwa kuwa solved. Kwa mawazo yako hayo,malezi ya mtoto yanahitaji wazazi wote. Unadhani utafika? Mwanaume amjali mtoto bila kujali mama yake? Malezi ya mtoto huanza tu pindi mimba inapoingia. Kwa wanaojua zaidi,mtoto tumboni huishi kulingana na haki ya mama yake. Ukibeba mimba ukiwa hivo,bora uache. Utaharibu mtoto.

Pili. Kama wewe ni mwanamke usie na vigezo kama vya wenzako,unafikaje hatua hiyo ya kukata tamaa?! Wanaume wangapi wanaohitaji mwanamke asiye na chochote, wa kuanza nae maisha? Nafikiri ujitafakari upya kwanza ndo uchukue maamzi. Zaa na mtu atakae kuwa karibu na wewe,acha utoto. Mjamzito,anahudumiwa kuanzia wiki za mwanzo mpaka umri furani. Je,ikitokea Mungu kamchukua, utakuwa mgeni wa nani?
 
Nahitaji mwanaume wa kunitimizia hili.na pia awe na shida na kama hii pia yaani Nawe anahitaji mtoto.

I have been so lonely,naamini mtoto atakua faraja yangu. Na kunisaidia kuishi Maisha yenye kusudi,na pia atanipa Ari na moral ya kujitafuta zaidi

Kwa upande wangu unaweza kujiuliza Sina mwenza? Ni kweli Sina,sijabahatika kupata mwenza mwenye utu,uelewa na.changamoto ni nyingi sana.siwezi kuelezea zote.

Kwa upande wangu Nina tatizo katika mfumo wangu wa nerve,nimekuwa na disability.mojawapo imenipata ukubwani.so mahusiano na mapenzi,sijui dates mi siwezi,nimezoea kuishi bila mwanaume.

Angalau niwe na mtoto nayo itanisaidia kuleta umaana kwenye Maisha,atakuwa kampani na rafiki kwangu,ndugu pia msaada In the future.

Kwa ufupi nahitaji mtu mwenye nia ya dhati,nae awe na uhitaji huo.
Awe anajishughulisha kujiingiza kipato Kwa shughuli halali
Awe mru mzima anaejielewa na kujua wajibu wake kama baba
Sihitaji mapenzi yako.mapenzi yako yaweke Kwa mtoto
Pesa zako wekeza katika kumtunza mtoto

Mimi Sina kipato,najitafuta na nnachopata ni kidogo.
-naomba malezi ya mtoto yabase kote kwenye pande zote mbili.muda,kujali,nk
- hata ukiingia kwenye mahusiano au ndoa haina tatizo usimsahau mwanao.

Mengine mengi tutajuzana na muhusika

Niko tayari kurekebishwa na kukosolewa kuhusu mawazo yangu.
Pole kwa changamoto unazopitia.
Mungu akupe hitaji la moyo wako.

Hata mme wa mtu unataka?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jikute ushazoea....
Sasa now jua katika wale wa sindano mmoja nitakua mimi na barakoa yangu safi kabisa ,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚,,, daah naomba niende mapumziko ntarud second half πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈ
 
Nahitaji mwanaume wa kunitimizia hili.na pia awe na shida na kama hii pia yaani Nawe anahitaji mtoto.

I have been so lonely,naamini mtoto atakua faraja yangu. Na kunisaidia kuishi Maisha yenye kusudi,na pia atanipa Ari na moral ya kujitafuta zaidi

Kwa upande wangu unaweza kujiuliza Sina mwenza? Ni kweli Sina,sijabahatika kupata mwenza mwenye utu,uelewa na.changamoto ni nyingi sana.siwezi kuelezea zote.

Kwa upande wangu Nina tatizo katika mfumo wangu wa nerve,nimekuwa na disability.mojawapo imenipata ukubwani.so mahusiano na mapenzi,sijui dates mi siwezi,nimezoea kuishi bila mwanaume.

Angalau niwe na mtoto nayo itanisaidia kuleta umaana kwenye Maisha,atakuwa kampani na rafiki kwangu,ndugu pia msaada In the future.

Kwa ufupi nahitaji mtu mwenye nia ya dhati,nae awe na uhitaji huo.
Awe anajishughulisha kujiingiza kipato Kwa shughuli halali
Awe mru mzima anaejielewa na kujua wajibu wake kama baba
Sihitaji mapenzi yako.mapenzi yako yaweke Kwa mtoto
Pesa zako wekeza katika kumtunza mtoto

Mimi Sina kipato,najitafuta na nnachopata ni kidogo.
-naomba malezi ya mtoto yabase kote kwenye pande zote mbili.muda,kujali,nk
- hata ukiingia kwenye mahusiano au ndoa haina tatizo usimsahau mwanao.

Mengine mengi tutajuzana na muhusika

Niko tayari kurekebishwa na kukosolewa kuhusu mawazo yangu.
Nicheki inbox ,umepata mme tayari
 
Kwa hiyo mmeamua mbebishane humu kwenye uzi wa mama watoto wangu mtarajiwa sio?
kam ivo ndo hua unabibishwa aseeee unasafari ndefu πŸ™†πŸΎπŸ™†πŸΎπŸ™†πŸΎπŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚,,, daah naomba niende mapumziko ntarud second half πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈ
Sawa sawa...
πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom