Nahitaji mwanaume wa kuzaa nae

Nahitaji mwanaume wa kuzaa nae

Status
Not open for further replies.
Never never never πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎwa io miaka tulshamalza kusoma kitambo
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Una nini wewe....
Tafuta sababu nyingine ya kumkataa mtu ila hapo umenikosa...
Ulianza ufupi...
Sasa umekuja umri
Bado bado sijui useme kingine πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sis

Sijui kwa nini lakini nahisi kama vile kuna kitu hakiko sawa mahali fulani. Kwa mbali sana nahisi kama binti mpweke ambaye hajipendi sana na ambaye pengine, kutokana na shida za kimwili na hata kihisia, keshaanza kujikatia tamaa. Kama niko sahihi hata huyo mtoto utakayempata anaweza asikupe faraja unayoitafuta hasa mambo yakienda ndivyo sivyo (mf. ukaishia kupata deadbeat baby daddy, mtoto kuwa na matatizo n.k). Faraja, ridhiko na umaana wa maisha ni vitu vya ndani na kimsingi huwezi kuvipata nje kama ndaniyo kuna ombwe la kiutambuzi, kinafsiya, kimwitikio na hata kisaikolojia.

Kama inawezekana jaribu kutulia kwanza. Kama itakupendeza pata mtu anayekuelewa vizuri na unayemwamini halafu uongee naye kuhusu hili wazo lako. Mtu wa ushauri nasaha wa mambo ya ndoa na mahusiano; na hata mwanasaikolojia ingesaidia zaidi. Nyote muangalie utayarifu wako (na huyo atakayekuwa mzazi mwenzio), faida na hasara za uamuzi huu na kama kweli ndicho unachokitaka kwa sasa. Utakuja kushangaa baada ya session chache tu za therapy unagundua kwamba yote haya yalikuwa ni zao la mihemko ya kihisia iliyochochewa na upweke, desperation, kunyanyapaliwa, kuumizwa na sababu zingine za muda tu.

Vinginevyo ngoja nikutakie kila la heri ili Mungu Aweze kukutimizia hitaji lako kama kweli hicho ndicho unachokitaka. Ukitaka kuongea zaidi kuhusu hili suala njoo PM.

UBARIKIWE πŸ™πŸΏπŸ™πŸΏπŸ™πŸΏ
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Una nini wewe....
Tafuta sababu nyingine ya kumkataa mtu ila hapo umenikosa...
Ulianza ufupi...
Sasa umekuja umri
Bado bado sijui useme kingine πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Huna pesa we mwanafunz badoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚apo vip m nshapgika kitaa nalea kabsa,,we ushawah itwa baba,🀣🀣🀣🀣🀣
 
Nahitaji mwanaume wa kunitimizia hili.na pia awe na shida na kama hii pia yaani Nawe anahitaji mtoto.

I have been so lonely,naamini mtoto atakua faraja yangu. Na kunisaidia kuishi Maisha yenye kusudi,na pia atanipa Ari na moral ya kujitafuta zaidi

Kwa upande wangu unaweza kujiuliza Sina mwenza? Ni kweli Sina,sijabahatika kupata mwenza mwenye utu,uelewa na.changamoto ni nyingi sana.siwezi kuelezea zote.

Kwa upande wangu Nina tatizo katika mfumo wangu wa nerve,nimekuwa na disability.mojawapo imenipata ukubwani.so mahusiano na mapenzi,sijui dates mi siwezi,nimezoea kuishi bila mwanaume.

Angalau niwe na mtoto nayo itanisaidia kuleta umaana kwenye Maisha,atakuwa kampani na rafiki kwangu,ndugu pia msaada In the future.

Kwa ufupi nahitaji mtu mwenye nia ya dhati,nae awe na uhitaji huo.
Awe anajishughulisha kujiingiza kipato Kwa shughuli halali
Awe mru mzima anaejielewa na kujua wajibu wake kama baba
Sihitaji mapenzi yako.mapenzi yako yaweke Kwa mtoto
Pesa zako wekeza katika kumtunza mtoto

Mimi Sina kipato,najitafuta na nnachopata ni kidogo.
-naomba malezi ya mtoto yabase kote kwenye pande zote mbili.muda,kujali,nk
- hata ukiingia kwenye mahusiano au ndoa haina tatizo usimsahau mwanao.

Mengine mengi tutajuzana na muhusika

Niko tayari kurekebishwa na kukosolewa kuhusu mawazo yangu.
Nimeutazama uso wako!

So sad,huna furaha kabisa,umekauka Hadi moyo,sidhani kama hata unaweza ku be stimulated kunako Kwa bed!

Umekata tamaa sana!

Mwenyezimungu ndio mpaji was vyote,muombe yeye atakupa mtu!!Amka usiku wa saa SITA hadi saa tisa,muda ambao mbingu na kuzimu zipo wazi!mwambie umechoka upweke unataka mtu was kudumu atakaekuletea tumaini na furaha maishani!!

Lakini hiki unachitaka kufanya hapa utapata tatizo jingine kubwa zaidi!sio kila mwanamme ni WA kuzaa nae!!!nakwambia japo na Mimi ni me!sio kila ukoo ni WA kuzaa nao!!Kuna watu ni nusu pepo nusu binadamu hawana huruma kabisa!!

Mwanamme mzuri ni yule ambae anaweza kuachilia hata Mali zake familia wakatumia hata pale mahusiano yanapokwama mbeleni!!!

Uanaume ni kazi ngumu sana!usije dhani ni rahisi sana kihivyo!!!

Rudi Kwa mwenyezi kwanza!trust me hiyo method naitumia it works aiseh!try it!
 
Nahitaji mwanaume wa kunitimizia hili.na pia awe na shida na kama hii pia yaani Nawe anahitaji mtoto.

I have been so lonely,naamini mtoto atakua faraja yangu. Na kunisaidia kuishi Maisha yenye kusudi,na pia atanipa Ari na moral ya kujitafuta zaidi

Kwa upande wangu unaweza kujiuliza Sina mwenza? Ni kweli Sina,sijabahatika kupata mwenza mwenye utu,uelewa na.changamoto ni nyingi sana.siwezi kuelezea zote.

Kwa upande wangu Nina tatizo katika mfumo wangu wa nerve,nimekuwa na disability.mojawapo imenipata ukubwani.so mahusiano na mapenzi,sijui dates mi siwezi,nimezoea kuishi bila mwanaume.

Angalau niwe na mtoto nayo itanisaidia kuleta umaana kwenye Maisha,atakuwa kampani na rafiki kwangu,ndugu pia msaada In the future.

Kwa ufupi nahitaji mtu mwenye nia ya dhati,nae awe na uhitaji huo.
Awe anajishughulisha kujiingiza kipato Kwa shughuli halali
Awe mru mzima anaejielewa na kujua wajibu wake kama baba
Sihitaji mapenzi yako.mapenzi yako yaweke Kwa mtoto
Pesa zako wekeza katika kumtunza mtoto

Mimi Sina kipato,najitafuta na nnachopata ni kidogo.
-naomba malezi ya mtoto yabase kote kwenye pande zote mbili.muda,kujali,nk
- hata ukiingia kwenye mahusiano au ndoa haina tatizo usimsahau mwanao.

Mengine mengi tutajuzana na muhusika

Niko tayari kurekebishwa na kukosolewa kuhusu mawazo yangu.
She speak from her heart,so touching nakuombea utakaempata asikuumize kwa uhitaji huu
 
Huna pesa we mwanafunz badoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚apo vip m nshapgika kitaa nalea kabsa,,we ushawah itwa baba,🀣🀣🀣🀣🀣
Kuitwa baba bado nasubri weww uniite hapa ""dady dady""
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nahitaji mwanaume wa kunitimizia hili.na pia awe na shida na kama hii pia yaani Nawe anahitaji mtoto.

I have been so lonely,naamini mtoto atakua faraja yangu. Na kunisaidia kuishi Maisha yenye kusudi,na pia atanipa Ari na moral ya kujitafuta zaidi

Kwa upande wangu unaweza kujiuliza Sina mwenza? Ni kweli Sina,sijabahatika kupata mwenza mwenye utu,uelewa na.changamoto ni nyingi sana.siwezi kuelezea zote.

Kwa upande wangu Nina tatizo katika mfumo wangu wa nerve,nimekuwa na disability.mojawapo imenipata ukubwani.so mahusiano na mapenzi,sijui dates mi siwezi,nimezoea kuishi bila mwanaume.

Angalau niwe na mtoto nayo itanisaidia kuleta umaana kwenye Maisha,atakuwa kampani na rafiki kwangu,ndugu pia msaada In the future.

Kwa ufupi nahitaji mtu mwenye nia ya dhati,nae awe na uhitaji huo.
Awe anajishughulisha kujiingiza kipato Kwa shughuli halali
Awe mru mzima anaejielewa na kujua wajibu wake kama baba
Sihitaji mapenzi yako.mapenzi yako yaweke Kwa mtoto
Pesa zako wekeza katika kumtunza mtoto

Mimi Sina kipato,najitafuta na nnachopata ni kidogo.
-naomba malezi ya mtoto yabase kote kwenye pande zote mbili.muda,kujali,nk
- hata ukiingia kwenye mahusiano au ndoa haina tatizo usimsahau mwanao.

Mengine mengi tutajuzana na muhusika

Niko tayari kurekebishwa na kukosolewa kuhusu mawazo yangu.
Umeemuliza kwanza huyo mtoto unaetaka kumleta anataka nini? au unataka na mtoto nae aje na uzi wake hapo baadae!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom