Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
mtoto atakula na kuvaa ninHapo ndo mnapotutenga maana pesa sio kigezo cha mtoto jamni ,ππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtoto atakula na kuvaa ninHapo ndo mnapotutenga maana pesa sio kigezo cha mtoto jamni ,ππππ
Never never never πππππΎwa io miaka tulshamalza kusoma kitamboJingaa wewe ππππ
Mi wa 90s huku we kadiria hvo hivo nikunyooshe
Kusema yeye yupo empty set kabisa jamani πππmtoto atakula na kuvaa nin
ππππ Una nini wewe....Never never never πππππΎwa io miaka tulshamalza kusoma kitambo
Apana ila mshirikiane tuπππKusema yeye yupo empty set kabisa jamani πππ
Huna pesa we mwanafunz badoπππapo vip m nshapgika kitaa nalea kabsa,,we ushawah itwa baba,π€£π€£π€£π€£π€£ππππ Una nini wewe....
Tafuta sababu nyingine ya kumkataa mtu ila hapo umenikosa...
Ulianza ufupi...
Sasa umekuja umri
Bado bado sijui useme kingine πππ
Hongera Kwa uwazi.Mimi nipo tayari ila nina mke na mtoto mmoja, mke wangu naona hataki mtoto mwengine kaniekea mivijiti na mimi nataka mtoto mwengine. Njoo inbox tuyajenge, mimi ni mfupi lakini
Nimeutazama uso wako!Nahitaji mwanaume wa kunitimizia hili.na pia awe na shida na kama hii pia yaani Nawe anahitaji mtoto.
I have been so lonely,naamini mtoto atakua faraja yangu. Na kunisaidia kuishi Maisha yenye kusudi,na pia atanipa Ari na moral ya kujitafuta zaidi
Kwa upande wangu unaweza kujiuliza Sina mwenza? Ni kweli Sina,sijabahatika kupata mwenza mwenye utu,uelewa na.changamoto ni nyingi sana.siwezi kuelezea zote.
Kwa upande wangu Nina tatizo katika mfumo wangu wa nerve,nimekuwa na disability.mojawapo imenipata ukubwani.so mahusiano na mapenzi,sijui dates mi siwezi,nimezoea kuishi bila mwanaume.
Angalau niwe na mtoto nayo itanisaidia kuleta umaana kwenye Maisha,atakuwa kampani na rafiki kwangu,ndugu pia msaada In the future.
Kwa ufupi nahitaji mtu mwenye nia ya dhati,nae awe na uhitaji huo.
Awe anajishughulisha kujiingiza kipato Kwa shughuli halali
Awe mru mzima anaejielewa na kujua wajibu wake kama baba
Sihitaji mapenzi yako.mapenzi yako yaweke Kwa mtoto
Pesa zako wekeza katika kumtunza mtoto
Mimi Sina kipato,najitafuta na nnachopata ni kidogo.
-naomba malezi ya mtoto yabase kote kwenye pande zote mbili.muda,kujali,nk
- hata ukiingia kwenye mahusiano au ndoa haina tatizo usimsahau mwanao.
Mengine mengi tutajuzana na muhusika
Niko tayari kurekebishwa na kukosolewa kuhusu mawazo yangu.
Nitapambana kwa hali na mali.Apana ila mshirikiane tuπππ
Mtoto ni byproduct ya mapenzi. Hakuna mwanaume anaye owa kwasababu anataka mtoto kwani kupata mtoto sio mpaka uowe,Nipo hapa
She speak from her heart,so touching nakuombea utakaempata asikuumize kwa uhitaji huuNahitaji mwanaume wa kunitimizia hili.na pia awe na shida na kama hii pia yaani Nawe anahitaji mtoto.
I have been so lonely,naamini mtoto atakua faraja yangu. Na kunisaidia kuishi Maisha yenye kusudi,na pia atanipa Ari na moral ya kujitafuta zaidi
Kwa upande wangu unaweza kujiuliza Sina mwenza? Ni kweli Sina,sijabahatika kupata mwenza mwenye utu,uelewa na.changamoto ni nyingi sana.siwezi kuelezea zote.
Kwa upande wangu Nina tatizo katika mfumo wangu wa nerve,nimekuwa na disability.mojawapo imenipata ukubwani.so mahusiano na mapenzi,sijui dates mi siwezi,nimezoea kuishi bila mwanaume.
Angalau niwe na mtoto nayo itanisaidia kuleta umaana kwenye Maisha,atakuwa kampani na rafiki kwangu,ndugu pia msaada In the future.
Kwa ufupi nahitaji mtu mwenye nia ya dhati,nae awe na uhitaji huo.
Awe anajishughulisha kujiingiza kipato Kwa shughuli halali
Awe mru mzima anaejielewa na kujua wajibu wake kama baba
Sihitaji mapenzi yako.mapenzi yako yaweke Kwa mtoto
Pesa zako wekeza katika kumtunza mtoto
Mimi Sina kipato,najitafuta na nnachopata ni kidogo.
-naomba malezi ya mtoto yabase kote kwenye pande zote mbili.muda,kujali,nk
- hata ukiingia kwenye mahusiano au ndoa haina tatizo usimsahau mwanao.
Mengine mengi tutajuzana na muhusika
Niko tayari kurekebishwa na kukosolewa kuhusu mawazo yangu.
Kuitwa baba bado nasubri weww uniite hapa ""dady dady""Huna pesa we mwanafunz badoπππapo vip m nshapgika kitaa nalea kabsa,,we ushawah itwa baba,π€£π€£π€£π€£π€£
Acha kusema we ni mfupi man! inferiority ya nini man!!?Mimi nipo tayari ila nina mke na mtoto mmoja, mke wangu naona hataki mtoto mwengine kaniekea mivijiti na mimi nataka mtoto mwengine. Njoo inbox tuyajenge, mimi ni mfupi lakini
roho ngum kulko umri wakoNitapambana kwa hali na mali.
Juu chini mpaka nipate cha mtoto ila si yeye mana yeye anajiweza.πππ
Wee jichanganye, na skuizi vifupi ndo vipambanaji afu vina ngekewa ya fwedha ka niniπππππDaaah nmekukosea nn bomu lote hili
Kuitwa baba bado nasubri weww uniite hapa ""dady dady""
πππππ
Umeemuliza kwanza huyo mtoto unaetaka kumleta anataka nini? au unataka na mtoto nae aje na uzi wake hapo baadae!!Nahitaji mwanaume wa kunitimizia hili.na pia awe na shida na kama hii pia yaani Nawe anahitaji mtoto.
I have been so lonely,naamini mtoto atakua faraja yangu. Na kunisaidia kuishi Maisha yenye kusudi,na pia atanipa Ari na moral ya kujitafuta zaidi
Kwa upande wangu unaweza kujiuliza Sina mwenza? Ni kweli Sina,sijabahatika kupata mwenza mwenye utu,uelewa na.changamoto ni nyingi sana.siwezi kuelezea zote.
Kwa upande wangu Nina tatizo katika mfumo wangu wa nerve,nimekuwa na disability.mojawapo imenipata ukubwani.so mahusiano na mapenzi,sijui dates mi siwezi,nimezoea kuishi bila mwanaume.
Angalau niwe na mtoto nayo itanisaidia kuleta umaana kwenye Maisha,atakuwa kampani na rafiki kwangu,ndugu pia msaada In the future.
Kwa ufupi nahitaji mtu mwenye nia ya dhati,nae awe na uhitaji huo.
Awe anajishughulisha kujiingiza kipato Kwa shughuli halali
Awe mru mzima anaejielewa na kujua wajibu wake kama baba
Sihitaji mapenzi yako.mapenzi yako yaweke Kwa mtoto
Pesa zako wekeza katika kumtunza mtoto
Mimi Sina kipato,najitafuta na nnachopata ni kidogo.
-naomba malezi ya mtoto yabase kote kwenye pande zote mbili.muda,kujali,nk
- hata ukiingia kwenye mahusiano au ndoa haina tatizo usimsahau mwanao.
Mengine mengi tutajuzana na muhusika
Niko tayari kurekebishwa na kukosolewa kuhusu mawazo yangu.