Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Kila la heri mleta Uzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi tu wameoa kwa kutoa mahari ama kwa kujitambulisha lkn hawajawajibika kama baba kwa watoto wao.Mwanaume aliyetayari kuwajibika ni yule aliyetayari kukuoa either kwa mahari au kujitambulisha kwenu! Nje ya hapo hayuko tayari!
Pls njoo PMNahitaji mwanaume wa kunitimizia hili.na pia awe na shida na kama hii pia yaani Nawe anahitaji mtoto.
I have been so lonely,naamini mtoto atakua faraja yangu. Na kunisaidia kuishi Maisha yenye kusudi,na pia atanipa Ari na moral ya kujitafuta zaidi
Kwa upande wangu unaweza kujiuliza Sina mwenza? Ni kweli Sina,sijabahatika kupata mwenza mwenye utu,uelewa na.changamoto ni nyingi sana.siwezi kuelezea zote.
Kwa upande wangu Nina tatizo katika mfumo wangu wa nerve,nimekuwa na disability.mojawapo imenipata ukubwani.so mahusiano na mapenzi,sijui dates mi siwezi,nimezoea kuishi bila mwanaume.
Angalau niwe na mtoto nayo itanisaidia kuleta umaana kwenye Maisha,atakuwa kampani na rafiki kwangu,ndugu pia msaada In the future.
Kwa ufupi nahitaji mtu mwenye nia ya dhati,nae awe na uhitaji huo.
Awe anajishughulisha kujiingiza kipato Kwa shughuli halali
Awe mru mzima anaejielewa na kujua wajibu wake kama baba
Sihitaji mapenzi yako.mapenzi yako yaweke Kwa mtoto
Pesa zako wekeza katika kumtunza mtoto
Mimi Sina kipato,najitafuta na nnachopata ni kidogo.
-naomba malezi ya mtoto yabase kote kwenye pande zote mbili.muda,kujali,nk
- hata ukiingia kwenye mahusiano au ndoa haina tatizo usimsahau mwanao.
Mengine mengi tutajuzana na muhusika
Niko tayari kurekebishwa na kukosolewa kuhusu mawazo yangu.
Uko sahihi kiongoziNjoo nikupige mashine, nikumwagie ndani. Round 1 tu unaingia leba na unazaa genius.
Pia naweza kukutupia kifurushi cha mapacha, yani nakupiga paipu hadi unatetemeka, nikitema mzigo ni mapacha nasema uongo ndugu zangu?
na kwenye kusumbua umesomea aseeee😂😂😂😂😂😂
Uchawi huo.
Acha zako mi nitakusumbua tuu
Sasa mi kwa umri wangu ata ukiniita dady hata jamii haitostuka maana watajua dady faza..😂😂😂😂😂 Mtoto wa 2000 mimi jimama nkuite dady
kwa umri wangu na wako siwezi kukuita dady bwana wew 😂😂😂vipi totoo lakiniiiSasa mi kwa umri wangu ata ukiniita dady hata jamii haitostuka maana watajua dady faza..
Kumbe dady wa show kali 😂😂
Nyie mtulie kwanza kwa sasa, mtafute hela kwanzaNi jobless ila sio pro...
Napambana sana aiseeee
Kumtunza mtoto taweza mbona
😂😂😂 Nilichukua diploma Veta pale..😂😂😂😂😂
na kwenye kusumbua umesomea aseeee😂😂😂
Was mfupi necessary lakin 😂😂😂Mimi nipo tayari ila nina mke na mtoto mmoja, mke wangu naona hataki mtoto mwengine kaniekea mivijiti na mimi nataka mtoto mwengine. Njoo inbox tuyajenge, mimi ni mfupi lakini
Pole sana na chanhamoto hii. Mimi nakuombea tu uponeNahitaji mwanaume wa kunitimizia hili.na pia awe na shida na kama hii pia yaani Nawe anahitaji mtoto.
I have been so lonely,naamini mtoto atakua faraja yangu. Na kunisaidia kuishi Maisha yenye kusudi,na pia atanipa Ari na moral ya kujitafuta zaidi
Kwa upande wangu unaweza kujiuliza Sina mwenza? Ni kweli Sina,sijabahatika kupata mwenza mwenye utu,uelewa na.changamoto ni nyingi sana.siwezi kuelezea zote.
Kwa upande wangu Nina tatizo katika mfumo wangu wa nerve,nimekuwa na disability.mojawapo imenipata ukubwani.so mahusiano na mapenzi,sijui dates mi siwezi,nimezoea kuishi bila mwanaume.
Angalau niwe na mtoto nayo itanisaidia kuleta umaana kwenye Maisha,atakuwa kampani na rafiki kwangu,ndugu pia msaada In the future.
Kwa ufupi nahitaji mtu mwenye nia ya dhati,nae awe na uhitaji huo.
Awe anajishughulisha kujiingiza kipato Kwa shughuli halali
Awe mru mzima anaejielewa na kujua wajibu wake kama baba
Sihitaji mapenzi yako.mapenzi yako yaweke Kwa mtoto
Pesa zako wekeza katika kumtunza mtoto
Mimi Sina kipato,najitafuta na nnachopata ni kidogo.
-naomba malezi ya mtoto yabase kote kwenye pande zote mbili.muda,kujali,nk
- hata ukiingia kwenye mahusiano au ndoa haina tatizo usimsahau mwanao.
Mengine mengi tutajuzana na muhusika
Niko tayari kurekebishwa na kukosolewa kuhusu mawazo yangu.
aah kwa field hii utapewa points lukuki😂😂😂😂🙌🏾🙌🏾
Unafanya nakosa confidence sasa....kwa umri wangu na wako siwezi kukuita dady bwana wew 😂😂😂vipi totoo lakiniii
Totoo wa 2000 apana aseeee nooooo😂😂😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾Unafanya nakosa confidence sasa....
Tushakubaliana niite dady...
Ntakulipa bana 😂😂😂😂
Hapo ndo mnapotutenga maana pesa sio kigezo cha mtoto jamni ,😂😂😂😂Nyie mtulie kwanza kwa sasa, mtafute hela kwanza
😂😂Mimi nipo tayari ila nina mke na mtoto mmoja, mke wangu naona hataki mtoto mwengine kaniekea mivijiti na mimi nataka mtoto mwengine. Njoo inbox tuyajenge, mimi ni mfupi lakini
I have been so lonely,naamini mtoto atakua faraja yangu. Na kunisaidia kuishi Maisha yenye kusudi,na pia atanipa Ari na moral ya kujitafuta zaidi
Sihitaji mapenzi yako.mapenzi yako yaweke Kwa mtoto
Pesa zako wekeza katika kumtunza mtoto
Jingaa wewe 😂😂😂😂Totoo wa 2000 apana aseeee nooooo😂😂😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾